Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,780
Dear Membars, nimefanya uchunguzi wangu binafsi, kufatilia visababishi ambavyo vikawapata baadhi yetu (binadamu) hutufanya tulie na kutokwa machozi.
* Umepata msiba * Umeumia, ameumia mpendwa wako.
* Umefeli mtihani, usaili , maisha, hasara kibiashara au mali.
* Umepata kesi, kufungwa jela, kutukanwa, kuibiwa, kusingiziwa ya uongo.
* Kusalitiwa penzi , nyanyaso kijinsia, kupigwa kibuti.
Haya na mengine ambayo sikubahatika kuyaainisha huweza kutusababishia vilio.
Sasa kuna kilio/vilio ambavyo takriban kila uchao tunalia, tena wahusika wa kilio hiki si watoto ni watu wazima.
Kilio ambacho ndanimwe hakupatikani hasara !
Sanasana hupatikana faida baada ya miezi 9 tangu ulie/mlie !
Kwa nini kilio hiki tusikibadili kikawa kicheko ?
Nawasilisha.
* Umepata msiba * Umeumia, ameumia mpendwa wako.
* Umefeli mtihani, usaili , maisha, hasara kibiashara au mali.
* Umepata kesi, kufungwa jela, kutukanwa, kuibiwa, kusingiziwa ya uongo.
* Kusalitiwa penzi , nyanyaso kijinsia, kupigwa kibuti.
Haya na mengine ambayo sikubahatika kuyaainisha huweza kutusababishia vilio.
Sasa kuna kilio/vilio ambavyo takriban kila uchao tunalia, tena wahusika wa kilio hiki si watoto ni watu wazima.
Kilio ambacho ndanimwe hakupatikani hasara !
Sanasana hupatikana faida baada ya miezi 9 tangu ulie/mlie !
Kwa nini kilio hiki tusikibadili kikawa kicheko ?
Nawasilisha.