Wapwa
Tume imepitisha wabunge 20 bila kupingwa, kelele zinapigwa lakini binafsi naona hazitoshi. Hii sio kwa upinzani peke ake, kuna siku CCM inatukuja kuwa upinzani, na sidhani kama watashangalia kama wafanyavyo sasa pindi itakapowatokea wao.
Hali ikiendelea hivi huku mbeleni tutegemee makubwa zaidi ya haya
Ni hayo tu
Haki huinua taifa
Tume imepitisha wabunge 20 bila kupingwa, kelele zinapigwa lakini binafsi naona hazitoshi. Hii sio kwa upinzani peke ake, kuna siku CCM inatukuja kuwa upinzani, na sidhani kama watashangalia kama wafanyavyo sasa pindi itakapowatokea wao.
Hali ikiendelea hivi huku mbeleni tutegemee makubwa zaidi ya haya
Ni hayo tu
Haki huinua taifa