Vyama vya wafanya kazi mfano CWT na TUCTA wamekaa kimya kuhusu waajiri wao

kitama yetu

Member
Mar 4, 2015
82
28
Naandika haya kwa masikitiko makubwa kwa maana wafanyakazi wanakatwa asilimia fulani toka kwenye mishahara yao kwa ajili ya kuendesha vyama hivi.cha kushangaza zaidi ni kuwa tangu awamu hii ya 5 iingie madarakani wafanyakazi wamekuwa wakinyanyaswa na wanasiasa hasa maRCs na DCs.

Pamoja na hayo bado stahiki za wafanyakazi zimekuwa zikibinywa katika utawala huu mfano kupanda madaraja, annual increment nk. Kwa haya yote sijasikia vyama hivi angalau wakitoa tamko, wamekaa kimya ila kila mwisho wa mwezi wanakula hela za wavujajasho wa nchi hii, viongozi wa vyama hivi bila shaka mmepoteza credibility ya kuendelea kuongoza vyama hivi au kama vipi acheni basi kukata fedha kwenye mishahara ya wavujajasho wa nchi hii huku mkiwa hawatetei
 
Hivi vyama nomevitoa maana kabisa, vinaonekana siku ya mei mosi tu. Hivi unajua sasa hivi kuna watumishi wa wizara ya afya katika hospitali wanafanyishwa kazi masaa 12 kwa siku bila malipo ya over time? na vyama vya wafanyakazi vipo??
 
Naandika haya kwa masikitiko makubwa kwa maana wafanyakazi wanakatwa asilimia fulani toka kwenye mishahara yao kwa ajili ya kuendesha vyama hivi.cha kushangaza zaidi ni kuwa tangu awamu hii ya 5 iingie madarakani wafanyakazi wamekuwa wakinyanyaswa na wanasiasa hasa maRCs na DCs.

Pamoja na hayo bado stahiki za wafanyakazi zimekuwa zikibinywa katika utawala huu mfano kupanda madaraja, annual increment nk. Kwa haya yote sijasikia vyama hivi angalau wakitoa tamko, wamekaa kimya ila kila mwisho wa mwezi wanakula hela za wavujajasho wa nchi hii, viongozi wa vyama hivi bila shaka mmepoteza credibility ya kuendelea kuongoza vyama hivi au kama vipi acheni basi kukata fedha kwenye mishahara ya wavujajasho wa nchi hii huku mkiwa hawatetei
Hivi unajua kazi ya chama cha wafanyakazi sheria ya kazi unaijua vizuri , au kiki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama unataraji/Mnatarajia kutegemea Kutetewa na Hivyo vyama vyenu vya wafanyakazi ambavyo viongozi wake wanajali maslahi ya Matumbo yao Mwafwaaaaa!


Yaaani Mwafwaaaa sahau kutetewa na CWT, sijui TALGU sijui TUGHE na bla bla nhinginezo. Sahauni teh teh teh!
 
Hivi vyama nomevitoa maana kabisa, vinaonekana siku ya mei mosi tu. Hivi unajua sasa hivi kuna watumishi wa wizara ya afya katika hospitali wanafanyishwa kazi masaa 12 kwa siku bila malipo ya over time? na vyama vya wafanyakazi vipo??

Mwenyekiti wa vyama hivyo wanaveyeti feki vya secondary hivyo lazima wakae kimya kabla ya kutumbulia
 
Kuna chama kipya cha walimu kinaitwa Chama cha kutetea maslahi ya walimu Tanzania(Chakamwata):
Hatua kilizochukua ni kupeleka kesi mahakamani kupinga makato ya 15% kinyume na mkataba
Kufuatilia issue ya madaraja na kufanikia kuitoa tsd kama .mhusika ktk kupandisha walimu madaraja kwa salsa ni utumishi na maafisa elimu takwimu.
Suala LA increment iliwaandalia hoja baadhi ya wabunge il I wapeleke bungeni kwakuwa ni tamko tu LA rais, mfano Bashe aliliwasilisha bungeni tatizo bunge let halina meno kiasi cha kuweza mwajibisha rais

Hayo ni kwa uchache
 
Naomba nijue taratibu za kujitoa cwt nimeumwa ni mwaka sasa uhamisho nilinyimwa nikaenda kwao wakawa wanapasiana,nimejisimamia na ninaelekea kufanikisha baada ya msoto wa maana,SIWATAKI NATAKA KUJIONDOA MARA MOJA!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ji
Kuna chama kipya cha walimu kinaitwa Chama cha kutetea maslahi ya walimu Tanzania(Chakamwata):
Hatua kilizochukua ni kupeleka kesi mahakamani kupinga makato ya 15% kinyume na mkataba
Kufuatilia issue ya madaraja na kufanikia kuitoa tsd kama .mhusika ktk kupandisha walimu madaraja kwa salsa ni utumishi na maafisa elimu takwimu.
Suala LA increment iliwaandalia hoja baadhi ya wabunge il I wapeleke bungeni kwakuwa ni tamko tu LA rais, mfano Bashe aliliwasilisha bungeni tatizo bunge let halina meno kiasi cha kuweza mwajibisha rais

Hayo ni kwa uchache[/niunganishe na viongozi wa chama hicho maana nikiwapata tu kesho yake naandika barua ya kutambulisha chama hicho kwa mwajiri kuwa ndicho chama nitakachokuwa nawajibika kwao na kujitoa CWT a.k.a tawi LA chichiemu
 
/niunganishe na viongozi wa chama hicho maana nikiwapata tu kesho yake naandika barua ya kutambulisha chama hicho kwa mwajiri kuwa ndicho chama nitakachokuwa nawajibika kwao na kujitoa CWT a.k.a tawi LA chichiemu
 
Hakuna haki nchi hii ni udikteta tu watu wametumikia nchi hii kwa uaminifu kwa zaidi ya miaka 30 Leo wameambiwa wamegushi vyeti jasho Lao lote wamedhurumiwa vyama vote kimya hakuna anayethubutu kusema.laana huenda na laana wameanza na ndege hatujui kesho
 
Kuna chama kipya cha walimu kinaitwa Chama cha kutetea maslahi ya walimu Tanzania(Chakamwata):
Hatua kilizochukua ni kupeleka kesi mahakamani kupinga makato ya 15% kinyume na mkataba
Kufuatilia issue ya madaraja na kufanikia kuitoa tsd kama .mhusika ktk kupandisha walimu madaraja kwa salsa ni utumishi na maafisa elimu takwimu.
Suala LA increment iliwaandalia hoja baadhi ya wabunge il I wapeleke bungeni kwakuwa ni tamko tu LA rais, mfano Bashe aliliwasilisha bungeni tatizo bunge let halina meno kiasi cha kuweza mwajibisha rais

Hayo ni kwa uchache
Hivi vyama havina maana vifutwe tu Na makato yafutwe havina maana yeyote
 
Back
Top Bottom