Vya kurithi havina uchungu

Vya kurithi havina uchungu

mfanyakazfake

Member
Joined
Feb 14, 2023
Posts
23
Reaction score
42
Nilichojifunza kwenye hii Dunia ni kwamba vitu vyote vya kurithi havina maumivu au machungu katika maisha ya mtumiaji, aliyevirithi atatumia hovyo hovyo tu hata kama atarithishwa nchi/ Dunia bado ataitumia vibaya tu kwa sababu hana machungu nayo.

Tujitahidi kurithisha watu maarifa badala ya kuwarithisha mali na vitu vingine kwani mali na vingine watavitumia vibaya kwa sababu hawana machungu nazo
 
Ukiona hivyo ni kukosa hekima kwenye hivyo vitu vya kurithi tu.

Ila ukweli ni kwamba watoto wanatakiwa kurithi mali na sio elimu, ni wajibu wako mzazi kumpa elimu mwanao.

Kuna watu wengi tuu wamerithi mali kutoka kwa wazazi na wameziendeleza.
 
Back
Top Bottom