Niambieni
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 625
- 171
Ni muda mrefu sasa wanatangaza baada ya siku 15, siku hizo zitafika lini hata leo wametangaza baada ya siku 15.
Kwanini ving'amuzi vyote vinafanya kazi vizuri, na cha continental tu ndio kina utata?
Kila siku wanaomba radhi na kusema baada ya siku 15.
Kwanini ving'amuzi vyote vinafanya kazi vizuri, na cha continental tu ndio kina utata?
Kila siku wanaomba radhi na kusema baada ya siku 15.