James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 8,112
- 13,342
Kuhusu virus kuwa wadogo Lazima electronic microscope hiyo si tu virus Hata bacteria, and some protozoans
Nilichouliza mimi Inasemekana kwamba HIV virus Hamna aliewahi kumwona even using such device. Je ni kweli, if so lete proof mkuu
Ni kweli ngoma huwa inahamia kichwani ?
Angalia jibu lake...Mmaswali yako yanaweza kusababisha mtu kukimbia maswali wakati wowote kuanzia sasa
Nimelijibu..soma commentPoint namba nne 👏👏
Sijawahi kuacha kujibu maswaliHivi mnamjua mnayemuuliza?
Jiandaeni kubaki wapweke mkisubiri majibu.
Sina hakika ya hili jibu. Lakini nitacheki na chama cha watu wenye VVU na wizara ya Afya nitakuja na jibu sahihiJe kuna asasi zinasaidia kuwatake care watoto walozaliwa na ukimwi ikiwa ni pamoja na kuwasomesha?
Hofu kubwa waliyo nayo watu ni kutokana na unyanyapaa na pili hofu ya kujua kwamba wana ugonjwa ambao hauponyeki. Hata hivyo kwa sasa waathirika wa UKIMWI Wanaishi kwa muda mrefu sawa sawa na watu ambao hawana maambukiziKwanini watu wanakimbia majibu
Nimeona mkuu hongera unaelezea kwa vizuriNimelijibu..soma comment
Nimejibu hiliUnaweza ukatuonyesha picha ya kirusi cha ukimwi?
Napigilia msumari yaani inavyosemekana huyo virus hajawahi ku be isolated yupo kwa kufikirika tu na picha tunazoonaga nizakuimagine tu, na hakuna kipimo kinachopima uwepo wake zaidi yakupima antibodies zinazoaminika hutokea pale mwili unapoanza kupambana na huyo virus, japo sijajua viroload inapimwaje ntashukuru nkipata ufafanuzi juu ya hili piaKuhusu virus kuwa wadogo Lazima electronic microscope hiyo si tu virus Hata bacteria, and some protozoans
Nilichouliza mimi Inasemekana kwamba HIV virus Hamna aliewahi kumwona even using such device. Je ni kweli, if so lete proof mkuu
Tafiti nyingi zimeonyesha dalili zifuatazo hujitokeza kwa watu wengi waliopata maambikizi ya VVU kwa mara ya kwanza. •Homa •Uchovu •Maumivu ya viungo na misuli •Kuvimba mitoki sehemu mbalimbali ya mwili •Kupata vidonda kwenye koo •Upele mchanganyiko kwenye kiwiliwili •Vidonda sehemu mbali mbali mwili •Kuharisha •Kichefuchefu na Kutapika •Kupungua uzito •Kutoka jasho hasa wakati wa usiku •Maumivu ya kichwa. •Homa ya uti wa mgongo (baadhi ya wagonjwa. Dalili hizi za awali hufanana na dalili za mtu anayeumwa mafua. Dalili hizi hujitokeza katika kipindi cha wiki mbili mpaka 6 toka kupata maambukizi ya VVU.Dalili za kwanza kabsa za UKIMWI ni zipi?
Picha zipo japo inasemekana nizkufikirika tu atakuonesha hizohizo mkuuUnaweza ukatuonyesha picha ya kirusi cha ukimwi?
Hiz ARV zipo za aina ngapi?1.vipimo vimavyotumika ni vile ambavyo vinaangalia iwapo mwili umetengeneza kinga dhidi ya maambukizi ya VVU hivi vinatumika katika nchi mbalimbali. Matumizi ya PCR ni bei ghali!
2.Hauwezi kuwa wa kisaikolojia kwa sababu kuna medical cause ambao ni HIV. MATATIZO YA KISAIKOLOJIA HUWA HAYANA MEDICAL CAUSE.
3. Hii dhana yako sio kweli. Kwa sasa waathirika wa UKIMWI Wanaishi kwa muda mrefu sana.
4Swali lako hili umechanganya vitu. ARV zina madhara kama zilivyo dawa nyingine. Ni kweli baadhi ya dawa zinaweza kusababisha mwili kufa ganzi. Hata hivyo unapopata madhara yoyote unabadilishiwa dawa
Katika jibu la msingi la swali hili nimeweka link. Ipitie.Napigilia msumari yaani inavyosemekana huyo virus hajawahi ku be isolated yupo kwa kufikirika tu na picha tunazoonaga nizakuimagine tu, na hakuna kipimo kinachopima uwepo wake zaidi yakupima antibodies zinazoaminika hutokea pale mwili unapoanza kupambana na huyo virus, japo sijajua viroload inapimwaje ntashukuru nkipata ufafanuzi juu ya hili pia
Nimeweka link ya KUONAhizo picha tena 3DPicha zipo japo inasemekana nizkufikirika tu atakuonesha hizohizo mkuu
Ok ntachekiNimeweka link ya KUONAhizo picha tena 3D
Zipo za aina nyingi ambazo kiutendaji kazi zimegawanyika katika makundi 7Hiz ARV zipo za aina ngapi?
Hivi ni kweli kwamba "kuna dawa ambayo ukimeza kabla/muda mfupi baada ya kujamiana inazuia maambukizi ya VVU"???Inawezekana umekuwa na maswali ambayo yamekuwa yakikutatiza juu ya maambukizi ya Virusi vya UKIMWI na ugonjwa wa UKIMWI.
Leo nakupa nafasi ya kuuliza swali lolote juu ya mada hii. Twende kazi!
Swali namba 2 liko poa Mkuu!!!!Mkuu Mimi Nataka kujua haya
1. Inasemekana HIV ndo kirusi hasa anasababisha UKIMWI, je ni kweli Hamna Mtu yoyote aliwahi mwona Huyu virus?
2. Inasemekana UKIMWI haumui victim, Ila magonjwa mengine nyemelezi, so let's assume AIDS victim is exposed Katika mazingira free of any diseases, je Huyu hatakufa?