VVU na UKIMWI: Historia yeke, chanzo cha maambukizi, dalili, kinga na juhudi za kupambana na ugonjwa huu

Kuhusu virus kuwa wadogo Lazima electronic microscope hiyo si tu virus Hata bacteria, and some protozoans

Nilichouliza mimi Inasemekana kwamba HIV virus Hamna aliewahi kumwona even using such device. Je ni kweli, if so lete proof mkuu

Bakteria wengi wanaonekana kwa microscope za kawaida. Virus wa HIV waneonekana kuanzia zamani. Na sasa hivi wanaonekana kwa kutumia 3D electronic microscope. Pitia hii article kutoka PubMed
Catching HIV ‘in the act’ with 3D electron microscopy
 
Kuhusu virus kuwa wadogo Lazima electronic microscope hiyo si tu virus Hata bacteria, and some protozoans

Nilichouliza mimi Inasemekana kwamba HIV virus Hamna aliewahi kumwona even using such device. Je ni kweli, if so lete proof mkuu
Napigilia msumari yaani inavyosemekana huyo virus hajawahi ku be isolated yupo kwa kufikirika tu na picha tunazoonaga nizakuimagine tu, na hakuna kipimo kinachopima uwepo wake zaidi yakupima antibodies zinazoaminika hutokea pale mwili unapoanza kupambana na huyo virus, japo sijajua viroload inapimwaje ntashukuru nkipata ufafanuzi juu ya hili pia
 
Dalili za kwanza kabsa za UKIMWI ni zipi?
Tafiti nyingi zimeonyesha dalili zifuatazo hujitokeza kwa watu wengi waliopata maambikizi ya VVU kwa mara ya kwanza. •Homa •Uchovu •Maumivu ya viungo na misuli •Kuvimba mitoki sehemu mbalimbali ya mwili •Kupata vidonda kwenye koo •Upele mchanganyiko kwenye kiwiliwili •Vidonda sehemu mbali mbali mwili •Kuharisha •Kichefuchefu na Kutapika •Kupungua uzito •Kutoka jasho hasa wakati wa usiku •Maumivu ya kichwa. •Homa ya uti wa mgongo (baadhi ya wagonjwa. Dalili hizi za awali hufanana na dalili za mtu anayeumwa mafua. Dalili hizi hujitokeza katika kipindi cha wiki mbili mpaka 6 toka kupata maambukizi ya VVU.
 
1.vipimo vimavyotumika ni vile ambavyo vinaangalia iwapo mwili umetengeneza kinga dhidi ya maambukizi ya VVU hivi vinatumika katika nchi mbalimbali. Matumizi ya PCR ni bei ghali!
2.Hauwezi kuwa wa kisaikolojia kwa sababu kuna medical cause ambao ni HIV. MATATIZO YA KISAIKOLOJIA HUWA HAYANA MEDICAL CAUSE.
3. Hii dhana yako sio kweli. Kwa sasa waathirika wa UKIMWI Wanaishi kwa muda mrefu sana.
4Swali lako hili umechanganya vitu. ARV zina madhara kama zilivyo dawa nyingine. Ni kweli baadhi ya dawa zinaweza kusababisha mwili kufa ganzi. Hata hivyo unapopata madhara yoyote unabadilishiwa dawa
Hiz ARV zipo za aina ngapi?
 
Napigilia msumari yaani inavyosemekana huyo virus hajawahi ku be isolated yupo kwa kufikirika tu na picha tunazoonaga nizakuimagine tu, na hakuna kipimo kinachopima uwepo wake zaidi yakupima antibodies zinazoaminika hutokea pale mwili unapoanza kupambana na huyo virus, japo sijajua viroload inapimwaje ntashukuru nkipata ufafanuzi juu ya hili pia
Katika jibu la msingi la swali hili nimeweka link. Ipitie.

Juu ya viral load inapima RNA za HIV kwenye damu ya mgonjwa.
 
Mkuu Mimi Nataka kujua haya

1. Inasemekana HIV ndo kirusi hasa anasababisha UKIMWI, je ni kweli Hamna Mtu yoyote aliwahi mwona Huyu virus?

2. Inasemekana UKIMWI haumui victim, Ila magonjwa mengine nyemelezi, so let's assume AIDS victim is exposed Katika mazingira free of any diseases, je Huyu hatakufa?
Swali namba 2 liko poa Mkuu!!!!
 
Back
Top Bottom