Vurugu za Korea Kaskazini inawezekana ni karata dume anayocheza China

Mchina hawezi kasapoti vita hii
Ijulikane kuwa hata Korea mbili zikipigana wakimbizi wengi watakimbilia China na hapo ndio China hataki litokee hilo

Baba yake kiduku alikuwa anatikisa kiberiti lakini huyu anajaribu kabisa
 
Fanya na wewe pia. Simple like that
Hahahaaa, siwezi kutafsiri maandishi yenye historia hizi kwa sababu yameongelewa sana kitambo. Ila kizazi hiki cha facebook kimekupaisha sana as if uliingia chimbo la nguvu la uchambuzi ukiwa kama investigation journalist kumbe ni maandishi ya zilizopendwa.Hongera kwa kupata hongera za kizazi cha whatssup, facebook, instagram, linkedin na viber.
 
Tafsiri zenu za maandishi ya uchambuzi wa magwiji nje waliochambua kutoka lugha ya kimalikia kuwa kiswahili.Tuwasifu kwa muda mliotumia walau kutafsiri, sio kwa uchambuzi. Uchambuzi ulishafanyika enzi, vyanzo vipo na baadhi mmeviweka humo, kwa hiyo kusema asante girl next door kwa uchambuzi na kumwaga likes za nguvu, inaonyesha ni jinsi gani tulivyo wavivu kusoma vyanzo mbalimbali vya maandishi.
Kwani akisifiwa na kupewa likes hata kwa kutuleza tunayoyajua imekuumiza na kukunyima nini mkuu... Acha asifiwe upite tuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaaa, siwezi kutafsiri maandishi yenye historia hizi kwa sababu yameongelewa sana kitambo. Ila kizazi hiki cha facebook kimekupaisha sana as if uliingia chimbo la nguvu la uchambuzi ukiwa kama investigation journalist kumbe ni maandishi ya zilizopendwa.Hongera kwa kupata hongera za kizazi cha whatssup, facebook, instagram, linkedin na viber.
such rubbish coming from a man to a trying girl!...
 
duuu huwa naamini najua historia kumbe bashite tu mbele ya wajuzi, nimepata kitu cha ziada leo

ila watifuane tu mambo ya kupigana biti kila siku ya nini,vita vya 3 tupate vya kusimulia na sisi mbeleni ama ahera kama tuta dedi
 
duuu huwa naamini najua historia kumbe bashite tu mbele ya wajuzi, nimepata kitu cha ziada leo

ila watifuane tu mambo ya kupigana biti kila siku ya nini,vita vya 3 tupate vya kusimulia na sisi mbeleni ama ahera kama tuta dedi
There has been no good war
 
Lakini mimi nilidhani ingekuwa vema kama NK wangerusha angalau DUDE moja tu lenye nguvu za urefu wa mbali ambalo lingedondoka jirani kabisa na US ili US iweze kupunguza ubabe japo kidogo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom