Vurugu za bodaboda mwanza

Vurugu za bodaboda mwanza

Nyamwaga

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2012
Posts
454
Reaction score
118
Kuna ukweli uso pingika kuwa vurugu za leo kati ya o na polisi hapa jijini zimetokana na hao vijana kupewa pesa na ccm- mafisadi ili wampokee Mangura kwa msafara mkubwa wa pikipiki, lakini wakala pesa na kuishia. Na ccm mafisadi mwanza wamewaambia polis-ccm waanze kuwakamata kwa visingizio vya makosa ya traffic. Kwa kweli mwisho wa hawa mafisadi iwe 2015.
 
Hekima ni silaha ya uongozi! hawa jamaa wanadhani fedha ndio kila kitu, kazi kwao!
 
Hilo nimelisikia pale Mwanza hotel likizungumzwa. Ila sababu ya hao bodaboda kuamua kuweka vizuizi barabarani ni kuwa wao wanasema hizo hela hawakuziomba ila waligawiwa na wanazohabari kuwa wale viongozi wao(bodaboda) wamevutiwa hela ya nguvu wao wameambulia chache kwa nini wasumbuliwe?
Hivyo swala la kuvaa helmet ni kisingizio maana hata wale waliovaa wamesulubishwa. Hii ni aibu kubwa.
 
kazi kwelikweli jamani.
Na wengine wajifunze toka kwa bodaboda kuwa wakipewa hela ya ccm si lazima wafanye km walivyoambiwa.
 
Back
Top Bottom