polisi hawana elimu na hekima, lile jambo lilikuwa dogo sana wao kwa sababu hawafuati sheria na busara ni zero wanaendeshwa na sela za wavuna nchi ndio hayo yakatokeawala si siasa ila kwa polisi ni siasa za ccm,kwanza wameua watu,wameumiza watu,kazi ya polisi ni kama laana kwa maana unakubari hata vitui visivyo na msingi wenyewe ni ndio mzee,kila kitu ndio mzee,wanabana visuruali tu,kila kitu ndio mzee,hawana elimu asilimia 99% yapolisi wamefogi vyeti,intelegensia yao haina maana ni uongo mtupu,Tubuni nyie polisi mtakufa na milaana hiyo.visingizio kibao.