nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,613
Labda huko kwenu lakini huku Arusha watu wameshafanya maamuzi kuhusu Lowasa,subiri aje halafu utaona hali itakavyokuwa,Slaa alikua ana wafuasi wengi wanaomuamini na jana amehama na watu wake
haa haa amehama nao amekwenda nao wapi?