Joseph
JF-Expert Member
- Aug 3, 2007
- 3,518
- 1,086
Nakubaliana na mtazamo wako BigiritaHaki kwa watu wa daraja la Nne na lile la daraja la kwanza....!!!
Umeeleweka hapo.
Nakubaliana na mtazamo wako BigiritaHaki kwa watu wa daraja la Nne na lile la daraja la kwanza....!!!
Umeeleweka hapo.
So Chadema ni chama cha KIKRISTO nakunukuu tu.... na hakirusu ushoga!!! mkuu uchaguzi wa nini na wapi pa kusemea ndio ukomavu kisiasa la sivyo yataendelea kutokea kaa yaliyotokea.....
chadema kuwa na ushirikiano na CDU inamaana Chadema ni chama cha kikristo ...! ?
kuweka mambo hadharani? ki ukweli hatujawahi kumuona mke wa Lipumba hadharani japokuwa kishagombea zaidi ya mara4, huu ndo Uliberali?
Tumaini....
Hoja ni Wenje kuwatuhumu CUF kushirikiana na Waliberali ambao anadai wanaunga mkono ndoa za mashoga na wasagaji ilhali chama chake (CHADEMA) nacho kina uhusuano na chama cha 'Wahafidhina' - Conservatives ambao pia wanaunga mkono ndoa za jinsia moja na ilifikia kipindi PM wa Uingereza David Cameron ambaye ni kiongozi wa Conservatives alitishia kutotoa misaada kwa nchi ambazo hazitaunga mkono/kupinga ndoa za jinsia moja....
Sidhani kama kuwa na ushirikiano na chama kinachounga mkono ushoga nawe utakuwa unaunga mkono ushoga...Ni sawa na CHADEMA kuwa na uhusiano na chama cha kikristo cha CDU cha Germany halafu mtu aseme CHADEMA waafuata itikadi ya udini....Hii haitakuwa sahihi....
Wenje na kambi yake wangeweza tu kutumia busara na kutoliweka hili kwenye hotuba yao....Maneno yaliyopo kwenye hotuba hiyo ni makali mno na yanachoma......
Bala.
Marriage is the union of people who love each other. It should be legal for gay, lesbian, bisexual and transgender individuals, to ensure equal rights for all. Support same-sex marriage. Opposed to the creation of a constitutional amendment establishing marriage as the union of one man and one woman. All individuals, regardless of their sexual orientation, have the right to marry. Prohibiting same-sex citizens from marrying denies them their civil rights
Haki sawa kwa wote, ikimaanisha haki sawa kwa mashoga, wasagaji, walemavu, walevi, weupe, weusi etc etc
hivi wewe umeelewa zaidi ya wana cuf wote kule mjengoni?Tuache ushabiki. Wapi pameandikwa cuf ni chama cha mashoga hapo? Pameandikwa cuf ni chama cha kiliberali . Halafu msingi wa uliberali na vyama vingne vya kiliberali duniani. Mbna jusa,lipumba n.k wanakipambanua chama chao kua ni cha kiliberali. Je akisema 'wenje' cuf ni waliberali ndio inageuka kua lugha ya kuudhi?. Liberal msing wao mkubwa ni 'liberty'. Maana yake ni 'liv as u wish'..hawa wanataka mwanadamu awe huru kuamua chochote anachojisikia. Katika swala la mahusiano,wanataka mwanadamu awe huru kuchagua, kuoa jinsia yake au vinginevyo.! Sasa cuf ni liberal paty! Kuna dhambi kuwaita liberal!
Mbona unakuwa mgumu kuelewa ndugu? Kwa faida ya watanzania wote Mhe. Wenje aliamua kuelezea itikadi kubwa tatu zilizopo hapa duniani. Hivyo ni jukumu vyama vyote vya siasa hapa Tanzania kupambanua kwa uwazi juu ya sera zao,
badala ya kufanya propaganda ambazo hazina tija kwa wananchi kwa mwisho wa siku wananchi watafanya maamuzi nani anafaa kuwaongoza,
Wenje amejibu hoja tena kwa kutumia facts na sio myths.Mkuu Makene,
Ni wazi hii hotuba ilikuwa na lengo la kuwahusisha CUF na Ushoga. Hizi ni cheap politics ambazo haziisaidii kabisa nchi yetu.
Kwani wanaounga Ushoga huku Ulaya ni Liberal tu? Mbona Conservative wa UK ambao pia wana uhusiano na CHADEMA ndio wamepeleka sheria bungeni ya kuruhusu ndoa za Ushoga? Tena juhudi hiyo inaongozwa na kiongozi wao wa chama ambaye pia ni waziri Mkuu wa nchi.
Kama katika uhusiano wowote haina maana unakubaliana na kila jambo analofanya rafiki. Muhimu ni kuambiana ukweli na kushauriana na pale inapotokea kushindwa kuwa na msimamo mmoja basi kukubali kutofautiana.
Usipotoshe jamii inayokuzunguka.Ccm wako madarakani kwa muda mrefu na umesahau kuwa Waziri Membe alipingana sana na Waziri Cameroun wa Uingereza kuhusu kupewa misaada mpaka turuhusu ndoa za jinsia moja.Hivyo Tanzania ni nchi isisyoruhusu ushoga na usagaji ikiongozwa na ccm.Je ccm nayo na chama cha kikatoliki kwa sababu kinapinga ushoga?Je Uislamu unaruhusu ushoga?MBONA MNATUPOTOSHA?According to Wenje, CHADEMA kinafuata itikadi ya kikatoliki yaani political catholism chini ya mtendaji wake mkuu padri mstaafu aliyesomea na kubobea vyema hadi ngazi ya udocta ya cannon law.