Vurugu kampeni za udiwani Kahama

Vurugu kampeni za udiwani Kahama

Kibo10

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2013
Posts
11,278
Reaction score
8,868
Wafuasi wa CCM Kata ya Ubagwe, Kahama washambuliwa kwa mapanga na watu wasiofahamika baada ya kampeni leo jioni,idadi ya majeruhi haijafahamika.source mwananchi TAARIFA za hivi punde ni kuwa Idadi ya wana CCM waliojeruhiwa katika mkasa huo hadi sasa ni watano akiwepo diwani wa Kata ya Ubagwe, idadi majeruhi yaweza kuongezeka.
 
utasikia Bavicha,watu wana akili ndogo!poleni wandugu.
 
poleni, sana

Mungu tunakuomba uepushe janga hili linalonyemelea chaguzi hizi,

zaidi yote amani itawale
 
poleni, sana

Mungu tunakuomba uepushe janga hili linalonyemelea chaguzi hizi,

zaidi yote amani itawale

Kama chaguzi hizi ndogo, polisi wanashindwa kudhibiti vitendo vya kihuni vinavyofanywa na MaCCM kila kona unakofanyika, je tutegemee nini kwenye uchaguzi mkuu 2015? Polissm wameshindwa kazi,. Maana kila siku Arusha tunasikia vurugu tu za akina Mjusi lakini hakamatwi!
 
Huu uhuni umeasisiwa na chama fulani, haukuwa utamaduni wetu hapo kabla kukatana mapanga hivi.
 
Naona kauli ya waziri mkuu inafanyakazi wapigetu namimi nasema watapigwa tu
 
Huu uhuni umeasisiwa na chama fulani, haukuwa utamaduni wetu hapo kabla kukatana mapanga hivi.
inawezekana mkuu, maana hata wanachama wa cdm kwa mfano huko sombetini nasikia wanapigwa sana mapanga na wafuasi wa..
 
Back
Top Bottom