Mwana fb,mwenye habari kamili atujuze
Umesikia wapi kuhusu hizo vurugu?
Ilitokea ajali na kijana mmoja kugongwa na gari na kufariki.Wananchi wakaleta ghasia hadi FFU kupelekwa eneo hilo karibu na Stendi ya mabasi Ipogolo.
Mabomu ya machozi yamepigwa na dozens kusombwa na magari ya polisi.Ni usumbufu wa hali ya juu.
mungu na wanadamu poleni sana jamani,jana ilikuwa ubungoilitokea ajali na kijana mmoja kugongwa na gari na kufariki.wananchi wakaleta ghasia hadi ffu kupelekwa eneo hilo karibu na stendi ya mabasi ipogolo.
Mabomu ya machozi yamepigwa na dozens kusombwa na magari ya polisi.ni usumbufu wa hali ya juu.