Chadema imeigalagaza tena ccm safari hii ni kijiji cha vunjo chini jimbo la vunjo...
peoplezzz
Jamani! Mtaacha MAGAMBA wafe kwa kiwewe. Si NEPI yupo huko imekuwa je tena? Yaani pamoja na kusema chama cha magaidi, bado kagaragazwa??
Mkuu hebu jazia jazia nyama uchaguzi unahusu nini na angalau ushindi umekaaje kaaje.
CHADEMA imeshinda kwa kishindo uchaguzi wa serikali ya kijiji cha Kilema Chini jimbo la Vunjo mkoani kilimanjaro.
Usemi wa Mjinga akijitambua Mwerevu upo matatani umeendelea kushika kasi ya ajabu.
peopleeeeezzz!!!!!
More Updates:
katika uchaguzi huo chadema ilishinda kwa kura 120, ccm kura 63 na tlp iliambulia kura 50
Jamani! Mtaacha MAGAMBA
wafe kwa kiwewe. Si NEPI yupo huko imekuwa je tena? Yaani pamoja na
kusema chama cha magaidi, bado kagaragazwa??
NEPI alikwenda kuangalia mazingira ya boda la horiri, ili 2015 ajue anakimbia vipi hii nchi. Si unajua hata wale 'ndugu' zake wanausongo nae kwa kutumia jina la baba yao ilhali Nepi ni mtoto haramu...
mmmh!!! mrema ataua mtu....