Wazanzibar mnajua sana Kiswahili, labda utanielewa kwa hili: Inzi akikuzunguka zunguka usoni ndio kero. Mbu akikuuma, au nyoka, ni tatizo, anaweza kukuua. Muungano sio kero, ni matatizo. Kwa nini hatutumii Kiswahili fasaha kuelezea matatizo yetu?
Mtanganyika nikilipishwa ushuru wa mamilioni kwa kuingiza gari Tanganyika kutokea Zanzibar, hayo mamilioni ni kero au tatizo?
Ninapoona nyumba za ibada za dini isiyokuwa popular Zanzibar zinachomwa moto wakati wao wamejaa Bara huku wanafanya shughuli zao hakuna anaewabughudhi hiyo ni kero au kutafutana vita?
Ninapoona Bunge limejaa wawakilishi kutoka Zanzibar tofauti na uwiano wao, hayo mabilioni ya kugharimia hawa wabunge wa kigeni ni kero au balaa?
Ninapoona waziri wa Zanzibar anatangaza hadharani kimabavu kwamba hatalipia Umeme wakati mimi Mtanganyika sithubutu kuikoromea TANESCO, hiyo ni kero au uonevu?
Ninapoona nusu ya mabalozi, mawaziri wa Muungano, viongozi wa vyama, wanatoka sehemu moja ndoooogo ya nchi, hiyo ni kero au upendeleo?
Ninapoona kura yangu haina nguvu ikilinganishwa na Mzanzibar kwa sababu ya uwakilishi mkubwa wa Wazanzibar kwenye vyombo vya maamuzi, Bunge na Baraza la Wawakilishi, hiyo ni kero au nimebakwa kidemokrasia?
Ninapoona Mtanganyika hawezi kununua kiwanja kirahisi Zanzibar, kujenga, kuendesha biashara, hiyo ni kero au ubaguzi dhalimu?
Ninapoona Zanzibar inaandika Katiba inayokinzana na Katiba ya Muungano na kutangaza unilaterally kufuta kitu fulani katika orodha ya mambo ya Muungano, hiyo ni kero au jinai ya dharau?
Ndio maana wengine tunasema to hell with the Muungano!
Ahsante sana Taso kwa uchambuzi wako.
Hakuna ubishi kwamba Muungano ni ndoa ya kulazimisha. Ni kiloba cha misumali. Labda tujiulize kitu kingine...Nani analazimisha kuendelea kuwemo katika hii ndoa batili na kwa maslahi gani?
Kabla ya kuomba faida kumi za muungano tunaomba hasara 5 tu za muungano
Wakuu wa CCM/SMZ/SMT ambao wanafaidi sana.
Vunjeni huo muungano wa kinafiki, hatuutaki tumechoka kunyonywa na wazanzibari. Haiwezekani zanzibar yenye idadi ya watu milioni moja wanawabunge 50, wakati Tanganyika ina watu milioni 43 ina wabunge 289. uwiano hakuna ondokeni nyie wazanzibari, kama ni kulinda mpaka tunao makorokoroni kibao tena wana nguvu.
Ahsante sana Taso kwa uchambuzi wako.
Hakuna ubishi kwamba Muungano ni ndoa ya kulazimisha. Ni kiloba cha misumali. Labda tujiulize kitu kingine...Nani analazimisha kuendelea kuwemo katika hii ndoa batili na kwa maslahi gani?
Wazanzibar mnajua sana Kiswahili, labda utanielewa kwa hili: Inzi akikuzunguka zunguka usoni ndio kero. Mbu akikuuma, au nyoka, ni tatizo, anaweza kukuua. Muungano sio kero, ni matatizo. Kwa nini hatutumii Kiswahili fasaha kuelezea matatizo yetu?
Mtanganyika nikilipishwa ushuru wa mamilioni kwa kuingiza gari Tanganyika kutokea Zanzibar, hayo mamilioni ni kero au tatizo?
Ninapoona nyumba za ibada za dini isiyokuwa popular Zanzibar zinachomwa moto wakati wao wamejaa Bara huku wanafanya shughuli zao hakuna anaewabughudhi hiyo ni kero au kutafutana vita?
Ninapoona Bunge limejaa wawakilishi kutoka Zanzibar tofauti na uwiano wao, hayo mabilioni ya kugharimia hawa wabunge wa kigeni ni kero au balaa?
Ninapoona waziri wa Zanzibar anatangaza hadharani kimabavu kwamba hatalipia Umeme wakati mimi Mtanganyika sithubutu kuikoromea TANESCO, hiyo ni kero au uonevu?
Ninapoona nusu ya mabalozi, mawaziri wa Muungano, viongozi wa vyama, wanatoka sehemu moja ndoooogo ya nchi, hiyo ni kero au upendeleo?
Ninapoona kura yangu haina nguvu ikilinganishwa na Mzanzibar kwa sababu ya uwakilishi mkubwa wa Wazanzibar kwenye vyombo vya maamuzi, Bunge na Baraza la Wawakilishi, hiyo ni kero au nimebakwa kidemokrasia?
Ninapoona Mtanganyika hawezi kununua kiwanja kirahisi Zanzibar, kujenga, kuendesha biashara, hiyo ni kero au ubaguzi dhalimu?
Ninapoona Zanzibar inaandika Katiba inayokinzana na Katiba ya Muungano na kutangaza unilaterally kufuta kitu fulani katika orodha ya mambo ya Muungano, hiyo ni kero au jinai ya dharau?
Ndio maana wengine tunasema to hell with the Muungano!
Hivii, naweza kuruhusiwa kugombea uwakilishi au ubunge huko Zenji bila kikwazo?
siku zote kuungana ni jamboi muhimu ndugu na nchi zote zilizoendelea zimeungana
kuna USA, UNITED KINGDOM, EUROPEAN UNION, KULIKUWA USSR. LKN TATIZO TULILOKUWA NALO SISI NI MFUMO WA MUUNGANO WETU. inavyotakiwa ni kuungalia upya muungano na kungalia mapungufu yake na vipi tutauboresha.
kaka sikatai kama hayo uliyoyasema si kweli inawezekana kweli lkn mtoto akinyea mavi hatukati mkono huwa tunauosha mkono. so tunachopaswa kufanya ni kuangalia ni mapungufu yapi ukimuiisha hayao uyasemayo wewe kwa maoni tukaangalia ni jinsi tutayarekebisha ili kila mmoja akanufaika na huu muungano wetu. narudia tena kuungana ni jamboa jema ila the way tulivyoungana ndio tatizo so turekebishe hizo kero zetu.
Najua wengi wenu mtahisi au mtaniona kama mropokaji lkn kamwe damu ya kitanzania na kamwe haitakuwa ya tanganyika wala ya kizanzibari. kwangu hupatwa na mfadhaiko nikimsikia mtu anajitambulisha yy ni mzanzibari au yy ni mtanganyika. uchezeeni muungano leo lkn kesho mutajuta. tunachotakiwa ni kuurekebisha mfumo wa muungano wa si kutengana haswa ktk wakati huu ambao tuhitaji kuujenga uchumi wetu. lkn mkiamua kamwe sitokuwa mtanganyika wala mzanzibari.
Vunjeni huo muungano wa kinafiki, hatuutaki tumechoka kunyonywa na wazanzibari. Haiwezekani zanzibar yenye idadi ya watu milioni moja wanawabunge 50, wakati Tanganyika ina watu milioni 43 ina wabunge 289. uwiano hakuna ondokeni nyie wazanzibari, kama ni kulinda mpaka tunao makorokoroni kibao tena wana nguvu.
ndugu kama wingi wa watu ndio kupewa priority basi india walitakiwa wapewe kura ya veto kwenye umoja wa mataifa. United kingdom nayo haikutakiwa ipewe kura ya veto kwani ina watu hawafiki milioni 70 wangepewa india ambayo ina watu karibu i bilioni kama sio zaidi.
Zanzibar inafaa iwe mkoa wa Tanzania ili kuwe na Muungano wa Kweli