M Masuke JF-Expert Member Joined Feb 28, 2008 Posts 4,610 Reaction score 1,269 Dec 26, 2014 #41 Zamaulid said: una utani wewe...subiri hasira za Tiba ziishie kwenu...wametumwa na mama wa escrow kuja kufanya kazi!! Click to expand... Huyo mama wa escrow mwenyewe anaipenda Simba yaani ni shabiki wa kutupwa na ikitokea Simba imefungwa anaumia zaidi kuliko hata kuombwa kuwapisha ili wateue mwingine.
Zamaulid said: una utani wewe...subiri hasira za Tiba ziishie kwenu...wametumwa na mama wa escrow kuja kufanya kazi!! Click to expand... Huyo mama wa escrow mwenyewe anaipenda Simba yaani ni shabiki wa kutupwa na ikitokea Simba imefungwa anaumia zaidi kuliko hata kuombwa kuwapisha ili wateue mwingine.
Katavi Platinum Member Joined Aug 31, 2009 Posts 42,099 Reaction score 12,919 Dec 26, 2014 #42 Zamaulid said: una utani wewe...subiri hasira za Tiba ziishie kwenu...wametumwa na mama wa escrow kuja kufanya kazi!! Click to expand... Hata kama wametumwa lakini lazima wakae
Zamaulid said: una utani wewe...subiri hasira za Tiba ziishie kwenu...wametumwa na mama wa escrow kuja kufanya kazi!! Click to expand... Hata kama wametumwa lakini lazima wakae
brave one JF-Expert Member Joined Feb 5, 2013 Posts 4,879 Reaction score 7,393 Dec 26, 2014 Thread starter #43 Amis tambwe bado alikuwa na nafasi yake ndani ya timu huyu serernkuma sina hakina sana kama ataiweza ligi ya bongo
Amis tambwe bado alikuwa na nafasi yake ndani ya timu huyu serernkuma sina hakina sana kama ataiweza ligi ya bongo
mkolaj JF-Expert Member Joined Mar 24, 2014 Posts 3,023 Reaction score 1,092 Dec 26, 2014 #44 brave one said: Amis tambwe bado alikuwa na nafasi yake ndani ya timu huyu serernkuma sina hakina sana kama ataiweza ligi ya bongo Click to expand... Mbona mapema sana!!!! na mtamkumbuka sana Tambwe mwaka huu subir aanze kutikisa nyavu za azam hapo jumapili
brave one said: Amis tambwe bado alikuwa na nafasi yake ndani ya timu huyu serernkuma sina hakina sana kama ataiweza ligi ya bongo Click to expand... Mbona mapema sana!!!! na mtamkumbuka sana Tambwe mwaka huu subir aanze kutikisa nyavu za azam hapo jumapili
mcubic JF-Expert Member Joined Mar 3, 2011 Posts 10,310 Reaction score 6,546 Dec 26, 2014 #45 brave one said: Amis tambwe bado alikuwa na nafasi yake ndani ya timu huyu serernkuma sina hakina sana kama ataiweza ligi ya bongo Click to expand... Shida yenu mnakamia yanga tu
brave one said: Amis tambwe bado alikuwa na nafasi yake ndani ya timu huyu serernkuma sina hakina sana kama ataiweza ligi ya bongo Click to expand... Shida yenu mnakamia yanga tu
brave one JF-Expert Member Joined Feb 5, 2013 Posts 4,879 Reaction score 7,393 Dec 26, 2014 Thread starter #46 mcubic said: Shida yenu mnakamia yanga tu Click to expand... tatizo sio kukamia mkuu timu imekosa mipango kule mbele ngoja 2one kipindi cha 2
mcubic said: Shida yenu mnakamia yanga tu Click to expand... tatizo sio kukamia mkuu timu imekosa mipango kule mbele ngoja 2one kipindi cha 2
brave one JF-Expert Member Joined Feb 5, 2013 Posts 4,879 Reaction score 7,393 Dec 26, 2014 Thread starter #47 simba wameanza kwa kushambulia
mcubic JF-Expert Member Joined Mar 3, 2011 Posts 10,310 Reaction score 6,546 Dec 26, 2014 #48 brave one said: simba wameanza kwa kushambulia Click to expand... Mkifunga nimention....nipo uingereza kupitia ss3
brave one said: simba wameanza kwa kushambulia Click to expand... Mkifunga nimention....nipo uingereza kupitia ss3
Sibonike JF-Expert Member Joined Dec 23, 2010 Posts 17,297 Reaction score 18,046 Dec 26, 2014 #49 Baada ya kumfunga Yanga mechi nyingine hazina maana.
Makoye Matale JF-Expert Member Joined May 2, 2011 Posts 6,490 Reaction score 2,104 Dec 26, 2014 #50 mcubic said: Shida yenu mnakamia yanga tu Click to expand... Heri mimi sijasema.
brave one JF-Expert Member Joined Feb 5, 2013 Posts 4,879 Reaction score 7,393 Dec 26, 2014 Thread starter #51 awadh juma nje na shaban kisiga ndani
Zamaulid JF-Expert Member Joined May 25, 2009 Posts 19,955 Reaction score 16,006 Dec 26, 2014 #52 mcubic said: Shida yenu mnakamia yanga tu Click to expand... yaani wao mechi zote washindwe lakini si yangu...upuuzi kweli!!watashinda ligi kwa kumfunga yanga!!
mcubic said: Shida yenu mnakamia yanga tu Click to expand... yaani wao mechi zote washindwe lakini si yangu...upuuzi kweli!!watashinda ligi kwa kumfunga yanga!!
Katavi Platinum Member Joined Aug 31, 2009 Posts 42,099 Reaction score 12,919 Dec 26, 2014 #53 Kipindi cha pili naona timu zote zinashambuliana kwa kasi.
PrN-kazi JF-Expert Member Joined Feb 5, 2011 Posts 2,900 Reaction score 445 Dec 26, 2014 #54 Chambueni SOKA linaloendelea dimbani...acheni maneno, wengi wanategemea hii Forum ili kujua kinachojili uwanjani..
Chambueni SOKA linaloendelea dimbani...acheni maneno, wengi wanategemea hii Forum ili kujua kinachojili uwanjani..
Zamaulid JF-Expert Member Joined May 25, 2009 Posts 19,955 Reaction score 16,006 Dec 26, 2014 #55 brave one said: simba wameanza kwa kushambulia Click to expand... wenyewe wakukuruke tu mwisho wa siku watatulizwa...
brave one said: simba wameanza kwa kushambulia Click to expand... wenyewe wakukuruke tu mwisho wa siku watatulizwa...
Katavi Platinum Member Joined Aug 31, 2009 Posts 42,099 Reaction score 12,919 Dec 26, 2014 #56 mcubic said: Mkifunga nimention....nipo uingereza kupitia ss3 Click to expand... Tutaku-mention kuku alert mkuu.
mcubic said: Mkifunga nimention....nipo uingereza kupitia ss3 Click to expand... Tutaku-mention kuku alert mkuu.
Makoye Matale JF-Expert Member Joined May 2, 2011 Posts 6,490 Reaction score 2,104 Dec 26, 2014 #57 brave one said: Amis tambwe bado alikuwa na nafasi yake ndani ya timu huyu serernkuma sina hakina sana kama ataiweza ligi ya bongo Click to expand... Tambwe ni mali halali ya Yanga, tutakutana na Simba - Mapinduzi Cup huko Zanzibar.
brave one said: Amis tambwe bado alikuwa na nafasi yake ndani ya timu huyu serernkuma sina hakina sana kama ataiweza ligi ya bongo Click to expand... Tambwe ni mali halali ya Yanga, tutakutana na Simba - Mapinduzi Cup huko Zanzibar.
mkolaj JF-Expert Member Joined Mar 24, 2014 Posts 3,023 Reaction score 1,092 Dec 26, 2014 #58 Matokeo yakibaki hivi hivi kagera watakuwa wamenipa zawadi nzur sana hasa kwa siku hii maalum ya 'BOXING DAY'
Matokeo yakibaki hivi hivi kagera watakuwa wamenipa zawadi nzur sana hasa kwa siku hii maalum ya 'BOXING DAY'
mcubic JF-Expert Member Joined Mar 3, 2011 Posts 10,310 Reaction score 6,546 Dec 26, 2014 #59 Katavi said: Kipindi cha pili naona timu zote zinashambuliana kwa kasi. Click to expand... Mnazi kweli ww
Katavi said: Kipindi cha pili naona timu zote zinashambuliana kwa kasi. Click to expand... Mnazi kweli ww
brave one JF-Expert Member Joined Feb 5, 2013 Posts 4,879 Reaction score 7,393 Dec 26, 2014 Thread starter #60 simba wanampelekea dan serenkuma mipira ya juu wakati jamaa ni mfupi sn mipira haikai mbele