VPL: Simba SC Vs Kagera Sugar

una utani wewe...subiri hasira za Tiba ziishie kwenu...wametumwa na mama wa escrow kuja kufanya kazi!!
Huyo mama wa escrow mwenyewe anaipenda Simba yaani ni shabiki wa kutupwa na ikitokea Simba imefungwa anaumia zaidi kuliko hata kuombwa kuwapisha ili wateue mwingine.
 
Amis tambwe bado alikuwa na nafasi yake ndani ya timu huyu serernkuma sina hakina sana kama ataiweza ligi ya bongo
 
Amis tambwe bado alikuwa na nafasi yake ndani ya timu huyu serernkuma sina hakina sana kama ataiweza ligi ya bongo
Mbona mapema sana!!!! na mtamkumbuka sana Tambwe mwaka huu subir aanze kutikisa nyavu za azam hapo jumapili
 
Baada ya kumfunga Yanga mechi nyingine hazina maana.
 
awadh juma nje na shaban kisiga ndani
 
Kipindi cha pili naona timu zote zinashambuliana kwa kasi.
 
Chambueni SOKA linaloendelea dimbani...acheni maneno, wengi wanategemea hii Forum ili kujua kinachojili uwanjani..
 
Amis tambwe bado alikuwa na nafasi yake ndani ya timu huyu serernkuma sina hakina sana kama ataiweza ligi ya bongo

Tambwe ni mali halali ya Yanga, tutakutana na Simba - Mapinduzi Cup huko Zanzibar.
 
Matokeo yakibaki hivi hivi kagera watakuwa wamenipa zawadi nzur sana hasa kwa siku hii maalum ya 'BOXING DAY'
 
simba wanampelekea dan serenkuma mipira ya juu wakati jamaa ni mfupi sn mipira haikai mbele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…