Laurence
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 3,104
- 420
Ndugu walimu wapya 2012 naomba kujua je wenzetu kuna taarifa yoyote au kuna watu wameshapata salary ya ajabumwezi huu? hapa Kigoma hali ni ngumu sana kwa sababu tokea tumeripoti tarehe 1 Febr tumepewa hela ya cku tatu tuu kwa walimu wa Kigoma Vijijini haya ndio yanayotokea na DED msaidizi juzi ametujibu jeuri sana,mwenye taarifa zaidi atujuze ili tujue mpango mzima ukoje maeneo mengine ingawa alhamisi wiki hii tutaandamana kuelekea kwa walimuMkuu wa Mkoa maana watendaji wengine wameshindwa kusolve matatizo yetu kwa wakati,nawasilisha wadau wenzangu