Vp kuhusu chumba kimoja!?

Vp kuhusu chumba kimoja!?

Ngonepi

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2013
Posts
1,872
Reaction score
1,212
Nipeni uzoefu wenu kuhusu maisha ya kuishi chumba kimoja, hii ni kwa wale wenzangu na mimi wenye maisha ya kawaida kabisa kibongo.

ki ukweli mimi nasumbuka sana japo šina jinsi kwa sasa maana kwa uwezo wangu inabidi tu niishi hivi!!
 
Ikiwa self ndani ya geti mbona poa tu....usitafute umarufu angalia mission yako....kama we mwanamke mwishoni utaishia kutoa papuchu hovyo....
 
Jitahidi angalau upate chumba na sebule,chumba 1 du sasa chupi utaanika wapi?,ukitembelewa na bi mkubwa na dadazako nguo utabadilishia wapi?,ok ni mtizamo wangu tu.
 
kama uwezo wako unaishia hapo ndo uvumilie sasa

Panga tu vizuri
Pa kupikia
Pa kulala
Maji utahifadhije
Nguo
Vyombo nk

Bado zamu za chooni na nje

 
Jitahidi angalau upate chumba na sebule,chumba 1 du sasa chupi utaanika wapi?,ukitembelewa na bi mkubwa na dadazako nguo utabadilishia wapi?,ok ni mtizamo wangu tu.


Ni taabu kwa kweli hasa ninapotaka kupumzika huku ndani kuna wageni!
Au kama hivyo kubadili mavazi ni noma aisee!
 
Maisha yako ni yako jiamini kwa kwenda mbele.
 
Huo ndo uwezo wako(chumba kimoja),usilazimishe jambo usilo uweza nalo ila jitahidi uongeze bidii ili uongeze chumba kingine kwa uhuru zaid especially unapopata wageni,afu wageni wanaokutembelea inabidi nao wawe waelewa kua uwezo wako ni mdogo by that way wawe tayari kukabiliana na hali yoyote nyumbani kwako!
 
Usitanue upaja kama msuli mdogo kama huo ndio uwezo wako panga hivyo hvyo usione watu wanatembelea vogue wametoka hukohuko chumba kimoja!!
 
Mbona wengi sana tumeanzia huko tu jamani, tatizo ni kuwa unajilinganisha na walio na vyumba vingi. Kwasasa fanya uwezalo kuboresha mazingira ya hapo chumbani tu. Hakuna mtu anaekushangaa kwa kuwa na chumba kimoja, ni kawaida sana tu.
 
sasa wote tumepita huko ambao hawajapita huko wameanzia labda nyumba za urithi!!!!!! na wachache awlioanzia kota au waliopangiwa na makampuni na mashirika!!unashangaa hapo uko peke yako watu tumeanza na single rum afu tupo wanne na tuna mademu na tunatembelewa na ndugu!
 
Nipeni uzoefu wenu kuhusu
maisha ya kuishi chumba kimoja, hii ni kwa wale wenzangu na mimi wenye
maisha ya kawaida kabisa kibongo.

ki ukweli mimi nasumbuka sana japo šina jinsi kwa sasa maana kwa uwezo
wangu inabidi tu niishi hivi!!

iko poa mku weka patision na shuka kubwa, jiweke sawa mambo yakiwa mazuri utachukua chumba na sebule
 
Mbna me naenjoy sna tu kka hyo life style sema tu linamatter na age yako pia, la msingi uwe msafi na getho ulipige na vyombo vya uhakika!
 
Back
Top Bottom