Najijua
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 1,039
- 180
WAKUU: Yeyote anayejua hatua stahiki zinazotakikana ili ipigwe kura ya kutokuwa na Imani na speaker atueleze tuone kwa namna gani tunaweza washauri na kuwataka wabunge wetu watekeleze jambo hili.
Kwa namna anavyolipeleka bunge sivyo, kuna mtu amenita hadharisha kuwa hata uasi huanza kwa mambo makubwa na madogo kama yatokayo bungeni. Haya si ya kuyavumilia hata kidogo.
Naamini wabunge wetu wakishindwa sisi tunaweza washurutisha nje ya bunge kufanya tuyatakayo kwa kuwa wapo kwa niaba yetu sisi na wanawakilisha mawazo na mitazamo yetu
Kwa namna anavyolipeleka bunge sivyo, kuna mtu amenita hadharisha kuwa hata uasi huanza kwa mambo makubwa na madogo kama yatokayo bungeni. Haya si ya kuyavumilia hata kidogo.
Naamini wabunge wetu wakishindwa sisi tunaweza washurutisha nje ya bunge kufanya tuyatakayo kwa kuwa wapo kwa niaba yetu sisi na wanawakilisha mawazo na mitazamo yetu