Vodafone mobile tv

ARV

JF-Expert Member
Sep 6, 2011
4,966
6,960
Naombeni msaada kwa anayejua hii kitu,yaani aliyefanikiwa kupata hii service(kuona hizi channel tano kwenye simu, TBC1,EURONEWS,B4U,SEESAW & SUPERSPORT BLITZ).Mimi nimejaribu sana kwenye simu zangu lakini kila ninapojaribu kuingia ina-search mwisho inaniambia UNABLE to open file.mwanzo nilitumia nokia 6233 ikagoma, nikatafuta tena nokia X2 ambayo naweza kuangalia online moving picture kama za you tube na mobile tv ya skysport lakini hii ya vodafone inagoma au voda wanatudanganya? au unatakiwa uwe na simu aina gani? Msaada please.
 
Naombeni msaada kwa anayejua hii kitu,yaani aliyefanikiwa kupata hii service(kuona hizi channel tano kwenye simu, TBC1,EURONEWS,B4U,SEESAW & SUPERSPORT BLITZ).Mimi nimejaribu sana kwenye simu zangu lakini kila ninapojaribu kuingia ina-search mwisho inaniambia UNABLE to open file.mwanzo nilitumia nokia 6233 ikagoma, nikatafuta tena nokia X2 ambayo naweza kuangalia online moving picture kama za you tube na mobile tv ya skysport lakini hii ya vodafone inagoma au voda wanatudanganya? au unatakiwa uwe na simu aina gani? Msaada please.

Ni hivi majuzi nimefanikiwa kupata hii huduma kupitia simu yangu(HTC HD2 WINDOW MOBILE). Awali ilikua inagoma, ilikua inanipa message fulani hivi, THIS SERVICE IS NOT AVAILABLE IN YOUR COUNTRY. Nadhani kuna marekebisho wamefanya, kwakua sikubadili chochote kwenye simu yangu. Napata channel zote 5, ingawa picha haziko clear sana, lakini si mbaya.
 
Mimi natumia Samsung GT-B7320 Window Mobile..inashika vizuri tu bila shida
 
Basi kumbe hawa voda hawana longolongo, lakini wangetutajia aina ya simu zinazokubali hiyo huduma yao.


Ni hivi majuzi nimefanikiwa kupata hii huduma kupitia simu yangu(HTC HD2 WINDOW MOBILE). Awali ilikua inagoma, ilikua inanipa message fulani hivi, THIS SERVICE IS NOT AVAILABLE IN YOUR COUNTRY. Nadhani kuna marekebisho wamefanya, kwakua sikubadili chochote kwenye simu yangu. Napata channel zote 5, ingawa picha haziko clear sana, lakini si mbaya.
 
Naombeni msaada kwa anayejua hii kitu,yaani aliyefanikiwa kupata hii service(kuona hizi channel tano kwenye simu, TBC1,EURONEWS,B4U,SEESAW & SUPERSPORT BLITZ).Mimi nimejaribu sana kwenye simu zangu lakini kila ninapojaribu kuingia ina-search mwisho inaniambia UNABLE to open file.mwanzo nilitumia nokia 6233 ikagoma, nikatafuta tena nokia X2 ambayo naweza kuangalia online moving picture kama za you tube na mobile tv ya skysport lakini hii ya vodafone inagoma au voda wanatudanganya? au unatakiwa uwe na simu aina gani? Msaada please.

mobile tv ya sky sport una watch tv? Tusaidie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom