ARV
JF-Expert Member
- Sep 6, 2011
- 4,966
- 6,960
Naombeni msaada kwa anayejua hii kitu,yaani aliyefanikiwa kupata hii service(kuona hizi channel tano kwenye simu, TBC1,EURONEWS,B4U,SEESAW & SUPERSPORT BLITZ).Mimi nimejaribu sana kwenye simu zangu lakini kila ninapojaribu kuingia ina-search mwisho inaniambia UNABLE to open file.mwanzo nilitumia nokia 6233 ikagoma, nikatafuta tena nokia X2 ambayo naweza kuangalia online moving picture kama za you tube na mobile tv ya skysport lakini hii ya vodafone inagoma au voda wanatudanganya? au unatakiwa uwe na simu aina gani? Msaada please.