Vodafone K-3565-Z bila Connection Manager inawezekana.

gomer

JF-Expert Member
Nov 9, 2010
294
100
Inawezekana pitio la mjadala uliopita ukawakanganya watumiaji wa kawaida, likabaki kuwa la akina DrPhone, Calvin Power na wenzao waliobobea kwenye nyanya hizi.


Ifahamike Vodafone Mobile Connect inatabia ya kuchukua taarifa zetu muhimu kama tulivyokubali wakati wa kuisimika, ila tunautashi wa kusitisha kupelelezwa.


Kwenye mada hii tutachukulia programu ya Vodafone Mobile Connect tumeshaisimika, hivyo kifaa chetu kinatambulika na Windows OS kama modem.


Tukichomeka modem, tufunge kipeperushi chochote cha kutaka tuungane na vodafone connect. Iko namna ya kuondoa katabia haka.


Twende kwenye manage network connections na tufungue Dial-up yenye uhusiano na ZTE Proprietary USB Modem. Hapa tutaunganishwa na mtandao husika bila zengwe. GSM simcard zote zinafanya kazi.

Tukipenda tunaweza kupeleka link desktop.
 
Inawezekana pitio la mjadala uliopita ukawakanganya watumiaji wa kawaida, likabaki kuwa la akina DrPhone, Calvin Power na wenzao waliobobea kwenye nyanya hizi.


Ifahamike Vodafone Mobile Connect inatabia ya kuchukua taarifa zetu muhimu kama tulivyokubali wakati wa kuisimika, ila tunautashi wa kusitisha kupelelezwa.


Kwenye mada hii tutachukulia programu ya Vodafone Mobile Connect tumeshaisimika, hivyo kifaa chetu kinatambulika na Windows OS kama modem.


Tukichomeka modem, tufunge kipeperushi chochote cha kutaka tuungane na vodafone connect. Iko namna ya kuondoa katabia haka.


Twende kwenye manage network connections na tufungue Dial-up yenye uhusiano na ZTE Proprietary USB Modem. Hapa tutaunganishwa na mtandao husika bila zengwe. GSM simcard zote zinafanya kazi.

Tukipenda tunaweza kupeleka link desktop.

umesomeka mkuu
 
Yaaap hata m huwa nafanya hivyo ila n vizuri ukawa na software za mitandao yote ili uwe unaangalia daily uses
 
Yaaap hata m huwa nafanya hivyo ila n vizuri ukawa na software za mitandao yote ili uwe unaangalia daily uses

sio lazima kutumia software,iwapo umechakachua vizuri sim card yoyote utakayo weka itatumia connection hiyo hiyo, lakini kama utahitaji kutuma sms na ku chek balance hapa utahitaji sofware zipo kibao.
 
sio lazima kutumia software,iwapo umechakachua vizuri sim card yoyote utakayo weka itatumia connection hiyo hiyo, lakini kama utahitaji kutuma sms na ku chek balance hapa utahitaji sofware zipo kibao.
v
Hapo nakubaliana na wewe mkuu maana kwa sasa nimepata JOIN AIR naitumia sa hv, Ila zain n wahuni wanakupa 300MB kwa cku moja, Wizi mtupu
 
Inawezekana pitio la mjadala uliopita ukawakanganya watumiaji wa kawaida, likabaki kuwa la akina DrPhone, Calvin Power na wenzao waliobobea kwenye nyanya hizi.


Ifahamike Vodafone Mobile Connect inatabia ya kuchukua taarifa zetu muhimu kama tulivyokubali wakati wa kuisimika, ila tunautashi wa kusitisha kupelelezwa.


Kwenye mada hii tutachukulia programu ya Vodafone Mobile Connect tumeshaisimika, hivyo kifaa chetu kinatambulika na Windows OS kama modem.


Tukichomeka modem, tufunge kipeperushi chochote cha kutaka tuungane na vodafone connect. Iko namna ya kuondoa katabia haka.


Twende kwenye manage network connections na tufungue Dial-up yenye uhusiano na ZTE Proprietary USB Modem. Hapa tutaunganishwa na mtandao husika bila zengwe. GSM simcard zote zinafanya kazi.

Tukipenda tunaweza kupeleka link desktop.

Vipi Vodafone K3765 - Z?
 
v
Hapo nakubaliana na wewe mkuu maana kwa sasa nimepata JOIN AIR naitumia sa hv, Ila zain n wahuni wanakupa 300MB kwa cku moja, Wizi mtupu
No! Tuma neno 'internet' kwenda 15444 utapata 400mb kwa mwezi tsh 2500.
 
pia akumbuke ku REPLY kwa neno NDIYO hapo atakuwa amejipatia mb400
 
Inawezekana pitio la mjadala uliopita ukawakanganya watumiaji wa kawaida, likabaki kuwa la akina DrPhone, Calvin Power na wenzao waliobobea kwenye nyanya hizi.


Ifahamike Vodafone Mobile Connect inatabia ya kuchukua taarifa zetu muhimu kama tulivyokubali wakati wa kuisimika, ila tunautashi wa kusitisha kupelelezwa.


Kwenye mada hii tutachukulia programu ya Vodafone Mobile Connect tumeshaisimika, hivyo kifaa chetu kinatambulika na Windows OS kama modem.


Tukichomeka modem, tufunge kipeperushi chochote cha kutaka tuungane na vodafone connect. Iko namna ya kuondoa katabia haka.


Twende kwenye manage network connections na tufungue Dial-up yenye uhusiano na ZTE Proprietary USB Modem. Hapa tutaunganishwa na mtandao husika bila zengwe. GSM simcard zote zinafanya kazi.

Tukipenda tunaweza kupeleka link desktop.

Samahani mkuu hapo ina maana hakuna umuhimu wa kuchakachua kwa kutumia Dc- Unlocker?senkiyu mkuu
 
Samahani mkuu hapo ina maana hakuna umuhimu wa kuchakachua kwa kutumia Dc- Unlocker?senkiyu mkuu

Ndio kifaa hiki cha zte hakina haja ya kukichakachua, ni suala la kukiboresha.

https://www.jamiiforums.com/technol...dafone-k-3565-z-imewezeshwa-simcard-zote.html

Tahadhari, si vyema tukatumia vodafone connect, inakomba mwenendo wetu wa kuperuzi internet. Ni bora tukazuia ukombaji kabla ya kuitumia.

Tutathmini hii connection manager, kwa wale tunaopenda kuulizia tulichotumia na kubakiza.

http://xseries.three.com.au/3/three/MobileBroadband/quickstart/HOSTA46.11.107.04.00.100.zip
 
Back
Top Bottom