Inawezekana pitio la mjadala uliopita ukawakanganya watumiaji wa kawaida, likabaki kuwa la akina DrPhone, Calvin Power na wenzao waliobobea kwenye nyanya hizi.
Ifahamike Vodafone Mobile Connect inatabia ya kuchukua taarifa zetu muhimu kama tulivyokubali wakati wa kuisimika, ila tunautashi wa kusitisha kupelelezwa.
Kwenye mada hii tutachukulia programu ya Vodafone Mobile Connect tumeshaisimika, hivyo kifaa chetu kinatambulika na Windows OS kama modem.
Tukichomeka modem, tufunge kipeperushi chochote cha kutaka tuungane na vodafone connect. Iko namna ya kuondoa katabia haka.
Twende kwenye manage network connections na tufungue Dial-up yenye uhusiano na ZTE Proprietary USB Modem. Hapa tutaunganishwa na mtandao husika bila zengwe. GSM simcard zote zinafanya kazi.
Tukipenda tunaweza kupeleka link desktop.
Ifahamike Vodafone Mobile Connect inatabia ya kuchukua taarifa zetu muhimu kama tulivyokubali wakati wa kuisimika, ila tunautashi wa kusitisha kupelelezwa.
Kwenye mada hii tutachukulia programu ya Vodafone Mobile Connect tumeshaisimika, hivyo kifaa chetu kinatambulika na Windows OS kama modem.
Tukichomeka modem, tufunge kipeperushi chochote cha kutaka tuungane na vodafone connect. Iko namna ya kuondoa katabia haka.
Twende kwenye manage network connections na tufungue Dial-up yenye uhusiano na ZTE Proprietary USB Modem. Hapa tutaunganishwa na mtandao husika bila zengwe. GSM simcard zote zinafanya kazi.
Tukipenda tunaweza kupeleka link desktop.