mgange hussein
Senior Member
- Sep 10, 2012
- 159
- 43
Heri ya mwaka mpya wanajamii.
Nina tatizo na hawa jamaa wa vodacom wananikata sh.150 kila siku nikiweka salio katika simu yangu. Nimewauliza vodacom huduma kwa wateja wameniambia niweke huduma sp namba 778 lakini haiendi.
Tafadhari mwenye kufahamu anisaidie
Nina tatizo na hawa jamaa wa vodacom wananikata sh.150 kila siku nikiweka salio katika simu yangu. Nimewauliza vodacom huduma kwa wateja wameniambia niweke huduma sp namba 778 lakini haiendi.
Tafadhari mwenye kufahamu anisaidie