Umeongea vyema sana,Hongera.
Ni kama sinema fulani inachezwa,mtoa inawezekana hajaijua ila naye ni mmojawapo wa Washiriki wa Movie.
Swali la Msingi,Why Tanzania iwe mentioned kihivyooo?? Iweje ianze Mada yake kisha iwe connected na kujua what is going on TV against Mada?
Ninachojua,kuna Staff wanaswap baina ya SA na TZ,ndiyo maana nasema hii kama Movie.....unatafutiwa mbaali kama Sniper kisha mtu anataka kujenga Hoja hahaha kwa kulinganisha Nchi na Nchi.
Mamlaka Husika zipo na Taratibu zipo zifuatwe ila si kutaka kuleta Siasa za Mbaali namna hii.