Wabogojo
JF-Expert Member
- Nov 5, 2010
- 354
- 87
Kwa wenzangu watumiaji wa huduma za simu za vodacom, je mmewahi kuomba huduma ya voda swaga na kama ndiyo je ina manufaa gani kwa mteja wa voda? Sasa nawauliza watoa huduma za voda, hii vodacom swaga ni kitu gani? Kwani ninakatwa sh. 30 kila siku kwa hiyo huduma yenu ambayo hata siijui na sijawahi iomba. Tafadhali elimisheni wateja wenu la sivyo huu utakuwa na uhuni na wizi kwa wananchi waliochoka kiuchumi.