Vodacom siwaelewi jamani

Moo Click

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2015
Posts
3,495
Reaction score
3,253
Leo saa nane na dakika tisa nimepokea ujumbe kutoka Mpesa wakiniambia ombi langu la Open FI Account limepokelewa nitapewa mrejesho Pindi akaunti husika itakapo funguliwa.

Wana Jf mimi sijajiunga na wala sijaomba chochote kuhusu Mpesa yangu zaidi ya kufanya miamala midogo midogo ya hapa na pale sasa dhumuni la uzi huu ni kutaka kujua hii Open FI Account ndio akainti ya namna gani? na mbona mimi sija request chochote iweje waniambie ombi langu limepokelewa?


Nawasilisha.
 
Hicho Kidhungu tu mie nahisi kimekuja na upepo wa kisulisuli!!!

Your apply for... Has been processing..when account have been??
 
Hicho Kidhungu tu mie nahisi kimekuja na upepo wa kisulisuli!!!

Your apply for... Has been processing..when account have been??
....Hata mie, kwa kidhungu hiko, nahisi harufu ya mtu kupigwa hapo...
 
Hii mbona kama imetoka M-pesa moja kwa moja maana hamna Sehemu ya kujibu mkuu
Umeone eeeh? Akirogwa tu kujibu hio sms, watamliza!!!
Moo Click piga 100 uwaulize call centre ya Voda kama wamekutumia hio message?
 
Mi pia nimetumiwa iyo txt na sielewi ni kitu gani hiko
 
Nimewauliza wamenijibu hapo kama inavyoonyesha kwenye screenshot
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…