A
Anonymous
Guest
Hii kitu mimi huwa inanitatiza sana, pale unapotumia USSD ya benk ili kufanya miamala kupitia mitandao ya simu.
Unakuta na kuambiwa ni lazma uwe na saliio la kawaida isiyopungua sh. 100..
Sasa unapojaribu kuitumia huwa wanakata hiyo fedha haijalishi umefanikiwa au haujafanikiwa. mara nyingi miamala huwa inafail na pesa huwa wanakata..
NINACHOWEZA KUSEMA NI KUWA HUU NAO NI UOVU NA NI WIZI HAIWEZEKANI WAKATE PESA NA HUJAFANIKIWA KUPATA HUDUMA.
Unakuta na kuambiwa ni lazma uwe na saliio la kawaida isiyopungua sh. 100..
Sasa unapojaribu kuitumia huwa wanakata hiyo fedha haijalishi umefanikiwa au haujafanikiwa. mara nyingi miamala huwa inafail na pesa huwa wanakata..
NINACHOWEZA KUSEMA NI KUWA HUU NAO NI UOVU NA NI WIZI HAIWEZEKANI WAKATE PESA NA HUJAFANIKIWA KUPATA HUDUMA.