Sababu yaweza kua ushindani, hawataki utumie m-pesa ukiwa mtandao mwingine, kwa wale ambao wanawahitaji voda kwa ajili ya m-pesa peke yake watakimbia mtandao.
Kwenye server wameruhusu requests zinazotoka kwenye vodacom ip addresses peke yake, na nahisi inaweza kua unblocked, kwamba ni bure data yote inayopita kwenye hiyo server ip address.