Deo Haule
Member
- Aug 9, 2016
- 41
- 34
Nadhani kuna wadau wataniunga mkono kwa hili
Vodacom mmezi na mameseji yenu ya promo yani nimejaribu kufuatilia mitandao yote lakini kwa vodacom mmezidi yote punguzeni jamani had I mda mwingine tuapuuzia kusoma meseji za maana kwa kudhani mmetuma nyie hizo za kwetu
Vodacom mmezi na mameseji yenu ya promo yani nimejaribu kufuatilia mitandao yote lakini kwa vodacom mmezidi yote punguzeni jamani had I mda mwingine tuapuuzia kusoma meseji za maana kwa kudhani mmetuma nyie hizo za kwetu


