Karibu halotel mkuu....5000 unapata gb 7 kwa week kwa line ya chuo lakini.
Kwangu bado hawajapunguza
Pesa ya uchaguzi inatafutwa...ccm wana share ujueHivi nyie Vodacom naona mmepunguza MB na mmeongeza gharama au kampuni zote za mitandao zimepunguza MB? Mmeamua kufinya MB. Mbona mnakandamiza hivi?
vodacom
Ova
View attachment 1564834View attachment 1564835
Ila speed mwendo wa konokonoHalotel
Buku GB1 siku 7
Buku 5 GB 7 siku 7
Buku 3 GB 3 siku 7
*150*88#
KUPANGA NI KUCHAGUA
Natamani kutoa neno baya lakini nafsi inanizuia inaniambia sio hekima
Halotel ndio mtandao wenye gharama nafuu zaidi kwa upande wa vifurushi vya data. ila siku hizi speed yako imekuwa changamoto sana tofauti na mwanzoni wakati wanaanza anza. Voda ni ghali lakini upande wa speed ya internet wako vizuri sana hata ukiwa vijijini.Halotel
Buku GB1 siku 7
Buku 5 GB 7 siku 7
Buku 3 GB 3 siku 7
*150*88#
KUPANGA NI KUCHAGUA
Nilipo speed ipo vizuri sana.Ila speed mwendo wa konokono
Wana jua miezi hii data zinatumika sana. kumbe mtumiaji ndo ataangalia alternativeHivi nyie Vodacom naona mmepunguza MB na mmeongeza gharama au kampuni zote za mitandao zimepunguza MB? Mmeamua kufinya MB. Mbona mnakandamiza hivi?
vodacom
Ova
View attachment 1564834View attachment 1564835
Nilipo mimi mimi halotel ina kasi sana+na kifurushi chao cha usiku bila kikomo kwa 1500 nafaidi sana.Ila speed mwendo wa konokono
Ina maana ile ya 3000 siku saba m.b 3075 haipo tena?
Hata hiyo bado ndogo mi najiunga hiiKwangu bado hawajapunguzaView attachment 1564854
Ni voda hiyo?Hata hiyo bado ndogo mi najiunga hiiView attachment 1564861
Ndio unabonyeza *149*03#ok kisha unachagua namba 2 internet nfo inakuletea hivo hiyo namba moja nfo unapata mb hizo.Ni voda hiyo?
Kwangu haipo hiko kifurushi. Nikienda kwenye namba 2 nakuta vifurushi vya ovyo tu. ila nikiingia kwenye UNI offer kuna kifurushi cha 1,500/= gb 1 na dakika kwa siku 7Ndio unabonyeza *149*03#ok kisha unachagua namba 2 internet nfo inakuletea hivo hiyo namba moja nfo unapata mb hizo.
Ila ni mb tupu hupati sijui msg wala muda wa maongezi