Vodacom kifurushi cha siku Sh. 500,000/= wizi mtupu

Namba yangu ni 0754 84 33 88 nina balance ya airtime ths 1,520,882/= na ujumbe wa jana kwamba nimepatiwa kifurushi cha elfu tisa bado ninao; msiwe na mawazo ya kimasikini kila siku, angalia hoja na misingi yake sio kukurupuka
Salim Bakora sheikh inaonyesha umechukizwa kiasi kwamba umejikuta unashusha hasira zako kwa mtu asiyehusika me Geechie sio vodacom,hiyo post uliyoirespond haikuwa inakujibu wewe bali inaonyesha mapungufu ambayo Voda wanayo,we ulikuwa na malalamiko yako nami nikawa na malalamiko ya jinsi wanavyotuingiza gharama kununua vifurushi,
Jambo unalopaswa kuzingatia ukiwa na Tatizo tafuta suluhu sahihi usipanic kama ulivyoibuka hapa na kujibu thread ambayo hata haikuhusu Bila kujua aliendika nae alikuwa anawasilisha frustrations zake Vodacom.
 
VODACOM NI MTAMBO WA WEZI KWA NJIA YA MTANDAO AIRTEL Ni wazuri bhana vifurushi vyao ni vya uhakika hakuna wizi na bei zao ni reasonable kabisaaa na hawana longolongo kama VODACOM mi nilishawahama siku nyngi niligundua wizi wao nikaachana nao
 
Hakikisha unatumia browser ambayo inazuia ads(yenye adblocker extension). Tumia Yandex inapokea extensions nyingi za adblocker .Hii Inapunguza upotevu wa MBs
Bora umetupa ushauri manake mi natumia lifayafox ngoja nachane nalo!
 
Namba yangu ni 0754 84 33 88 nina balance ya airtime ths 1,520,882/= na ujumbe wa jana kwamba nimepatiwa kifurushi cha elfu tisa bado ninao; msiwe na mawazo ya kimasikini kila siku, angalia hoja na misingi yake sio kukurupuka
Nadhani hukumuelewa uliyemjibu hii post. Yeye pia alikuwa analalamika kuhusu mapungufu ya Voda.
 
hata ukitumia simu tu za kawaida VODACOM wanatuibia sana hata muda wa maongezi wanakata hovyohovyo tu aaaaa hovyo kabisaaa jamaa hawa aisee!!!!
 
mfano, ukinunua kifurushi cha kwenda mitandao yote cha Shs.10,000/= kwa mwezi voda wanakupa Dakika 125 tu kwa pesa hiyo hiyo ukinunua kifurushi cha AIRTEL kwa mwezi kwenda mitandao yote, Airtel wanakupa Dakika 175! tofauti ya dakika karibu 50 hapo sasa unajiuliza wao Voda wanatumia mitambo ya gharama gani tofauti na wenzao?? au ndo mpango wakutukamua sisi walalahoi wao wawe wanaishi kama malaika yaani maisha ya peponi mweeeeeee!!!!!
 
Jana nimenunua kifurushi cha vodacom internet kinachosomeka 9,000/= kwa mwezi; kabla sijaanza kusoma emails zangu umeme ukakatika na haukurudi hadi saa 12 jioni. Nilipowasha computer nilipokea ujumbe wa kifurushi kimeisha ili hali ni muda mfupi tu tangu nifungue internet hata nusu saa bado; sasa swali, hivi huu wizi wa aina hii ni nani anaudhibiti katika taifa hili? je hii fedha ya wizi wa jinsi hii toka kwa mteja maskini haiwezi kuibiwa fedha kubwa faidi kwenye kodi ya nchi? kwanini hivi vifurushi makampuni wanayojitangazia kitapeli havisajiliwi ili viweze kufatiliwa na mamlaka husika? elfu tisa kuunguzwa kwa nusu saa ni karibia laki tano kwa masaa 24; hivi kweli upo uhalali gani hapo? unaibiwa huku huwezi kujilinda?
mkuu, kwanini usingeenda kwenye ofisi za voda zilizo karibu yako moja kwa moja???!!!!!!!!!!!!!
 
Nenda police katoe malalamiko yako pia mamlaka husika itafikishiwa na kulishughulikia pengne na kweli lakn cc hatujui kwan ulipotaka kujiunga hukutuambia ila tuu umeona tofauti ndo ukatuambia so hatuwez sema chochote na vodacom nawapenda sana tu hawana shida hata
hamia hallotel full tunaenjoy internet yakeee iko vema sana
 
Namba yangu ni 0754 84 33 88 nina balance ya airtime ths 1,520,882/= na ujumbe wa jana kwamba nimepatiwa kifurushi cha elfu tisa bado ninao; msiwe na mawazo ya kimasikini kila siku, angalia hoja na misingi yake sio kukurupuka
Mkuu mbona umemkejeli huyo jamaa wakati na yeye ameeleza moja ya tatizo la vodacom?
 
Utaenda mara ngapi sasa manake ya leo ndio kali zaidi; nimenunua kingine cha 9,000/= kinachodaiwa ni cha mwezi ile namaliza tu kuandika hiyo post hapo juu kikakata ila safari hii ujumbe wameona aibu kuutuma. Kama ni suala la kuwaendea ofisini labda sasa nifanye kujenga hema la kuishi hapo nje kwao manake majizi yako bize
 
Jana nimenunua kifurushi cha vodacom internet kinachosomeka 9,000/= kwa mwezi; kabla sijaanza kusoma emails zangu umeme ukakatika na haukurudi hadi saa 12 jioni. Nilipowasha computer nilipokea ujumbe wa kifurushi kimeisha ili hali ni muda mfupi tu tangu nifungue internet hata nusu saa bado; sasa swali, hivi huu wizi wa aina hii ni nani anaudhibiti katika taifa hili? je hii fedha ya wizi wa jinsi hii toka kwa mteja maskini haiwezi kuibiwa fedha kubwa faidi kwenye kodi ya nchi? kwanini hivi vifurushi makampuni wanayojitangazia kitapeli havisajiliwi ili viweze kufatiliwa na mamlaka husika? elfu tisa kuunguzwa kwa nusu saa ni karibia laki tano kwa masaa 24; hivi kweli upo uhalali gani hapo? unaibiwa huku huwezi kujilinda?
Tcra wako busy kukagua nani kataja neno "UCHWARA" haya mambo ya vocha hawataweza yaona kwa sasa
 
Utaenda mara ngapi sasa manake ya leo ndio kali zaidi; nimenunua kingine cha 9,000/= kinachodaiwa ni cha mwezi ile namaliza tu kuandika hiyo post hapo juu kikakata ila safari hii ujumbe wameona aibu kuutuma. Kama ni suala la kuwaendea ofisini labda sasa nifanye kujenga hema la kuishi hapo nje kwao manake majizi yako bize

Mkuu,
Pole kwa maswahibu. Nina maswali mawili.

1. Umecheki kuona kama sio Automatic Windows Updates ndo zinamaliza kifurushi chako?

2. Mfumo unaoconnect nao unakuonyesha mita za matumizi? Maana kwa hapa utaweza kuona bandwith kiasi gani imetumika ndani ya muda gani. Hiki kinaweza kuwa kipimo kizuri.

Wasalaam!
 
Kumekuwa na malalamiko mengi kuhusu hivi vifurushi, nafikiri ni wakati wa mamlaka hisika TCRA kutoa mwongozo. Sasa hivi ni wizi mtupu
Wako busy kuangalia nani kamtukana mtukufu!!! Kwa sasa hawataona maswala ya vocha
 
Na sasa ndio wameibuka na dili jipya la kuscrap salio ambalo halijamalizwa ndani ya siku 60; yani hapo si kwamba tu utaibiwa vifurushi ulivyonunua bali hata masalio ya wateja yatakuwa yanayeyuka kiaina kwa ridhaa ya wamiliki wa vodacom na hapo ndio sijui salio langu la tshs 1,520,882/= nitalifanyaje kabla halijapigwa kinyama ilihali nimelikusanya kwa muda mrefu ajili ya ku launch website yangu mpya. Yani mimi sijui hata ni uharamia wa aina gani hii unaendelea ndani ya makampuni ya simu na sijui nani kawapa matapeli leseni za biashara hii
Nakuonea huruma ndugu yangu
 
Back
Top Bottom