R rmambya Member Dec 3, 2010 50 7 May 30, 2012 #1 Mkuu leo ni siku ya 3 tangu j.3 tarehe 28.5.12 mawasiliano ya simu katika kampuni ya vodacom hapa kibondo hakuna.kwakweli wananchi tunateseka sana.
Mkuu leo ni siku ya 3 tangu j.3 tarehe 28.5.12 mawasiliano ya simu katika kampuni ya vodacom hapa kibondo hakuna.kwakweli wananchi tunateseka sana.
bornagain JF-Expert Member Jan 25, 2012 3,383 1,354 May 30, 2012 #2 Mmm na wewe kwani hapo Kibondo mtandao unaoshika ni Vodacom, hamia Airtell wewe na ndugu zako wa Kibondo wote muache kulalama
Mmm na wewe kwani hapo Kibondo mtandao unaoshika ni Vodacom, hamia Airtell wewe na ndugu zako wa Kibondo wote muache kulalama