Vodacom Internet ni TZS 275,000 per GB

Vodacom Internet ni TZS 275,000 per GB

kichwat

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2010
Posts
1,819
Reaction score
591
Wataalam naomba kupata ukweli juu ya gharama mpya za internet Vodacom. Je, kuna mtandao nafuu zaidi ya Voda?
 
Jamaa yangu kaliwa mshahara mzima in a few hours.
 
Pata MB 100 DAKIKA 20 MITANDAO YOTE SMS 500 tumia ndan ya miezi 6 kwa 1000/= tu niPM nikunganishe NI KWA TIGO TU
 
Wataalam naomba kupata ukweli juu ya gharama mpya za internet Vodacom. Je, kuna mtandao nafuu zaidi ya Voda?
1Gb kwa 275,000/= ??
Cjawah ckia hii,,au kwasabab mi co mtumiaji wa voda dats y cjui,,
 
Kwanini asingejiunga na bundle ya 20,000 bila kikomo mwezi mzima
 
Pata MB 100 DAKIKA 20 MITANDAO YOTE SMS 500
tumia ndan ya miezi 6 kwa 1000/= tu niPM
nikunganishe NI KWA TIGO TU
 
Jamaa ni mwongo sana mpaka sasa natumia Voda internet. Nilinunua 5GB kwa 25,000/= tu.
 
Wataalam naomba kupata ukweli juu ya gharama mpya za internet Vodacom. Je, kuna mtandao nafuu zaidi ya Voda?

mkuu una uhakika?? hzo bei za mtandao gan..voda hkuna hyo gharama kam uliyoitaja
 
ndio mkuu


Acha kupotezea watu muda.

Kuandika tu hivi unashindwa ?

Dial *148*00# >>> 1. OFA MAALUM >>> 5. DAKIKA 20 BILA KIKOMO

Pata dakika 20 mitandao yote, 100MB na SMS 500 Mwaka mzima.
 
Acha kupotezea watu muda.

Kuandika tu hivi unashindwa ?

Dial *148*00# >>> 1. OFA MAALUM >>> 5. DAKIKA 20 BILA KIKOMO

Pata dakika 20 mitandao yote, 100MB na SMS 500 Mwaka mzima.

hakuna huduma kama hyo kwenye hyo menu sababu inapatikana kwa nawakala waliochaguliwa nami nkaona c vibaya kuwataarifu wana jf wenzangu
 
Back
Top Bottom