nijuzen jinsi ya kujitoa bana otherwise hali itakuwa ngumu
<br />Pole sana..
<br />nijuzen jinsi ya kujitoa bana otherwise hali itakuwa ngumu
mzee ilikuaje ukajiunga, watanzania kwa vya bure. ila ingekuwa bure si wangeliangalia wateja wao wazuri wakawapatia tu hizo tv kwani lazima wachezeshe bahati nasibu.Nilijiunga na shindano la promotion ya BURE linaloendeshwa na VODACOM. Kwenye maelezo yao wameelekeza namna ya kujitoa kwenye shindano hilo la kila siku. Baada ya kujiunga kwa muda wa siku tatu ambapo unakatwa sh. 550/= kila siku, niliamua kujihengua. Nimefuata utaratibu wa kujihengua na wao wakanitumia sms ya kuondolewa kwenye promotion vinginevyo nijiunge tena.
Hajabu wanaendelea kukata shs 550/= kila ninapoongeza salio bila idhini yangu . Huu si uhuni na wizi?Na hawaweki namba ya mawasiliano kwenye sms za promotion hiyo incase mteja ana tatizo kuhusiana na jambo hilo. Ninakusudia kusitisha matumizi ya line yaho mpaka promotion imalizike.
nijuzen jinsi ya kujitoa bana otherwise hali itakuwa ngumu
<br />Kawashitaki TCRA Ipo next to Mlimani city kama unatokea mwenge kwenda Ubungo. Watapewa adhabu na watakulipa kiasi chochote utakachotaja kulingana na usumbufu ulioupata. TCRA ni kiboko yao kamwone Jamaa mmoja Anaitwa Innocent Mungi au Semu Mwakyanjala ni watu wa Information.