Rogie
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 7,600
- 6,721
Mkuu simu haikupikelewa, imeita mpaka ikajatuka!
Pole sana, njoo PM.
Mkuu simu haikupikelewa, imeita mpaka ikajatuka!
Mkuu kwa mtaji huu , mimi sithubutu kununua hisa za kitapeli.Na bado wanashawishi tununue hisa wakati huduma mbovu
The poor service doesn't inspire me to invest in vodacom.Wako busy wanauza hisa kwanza
Limenitokea tatizo kama hilo na niliwasiliana nao pale pale, lakini hii wiki ya tatu sasa nazunguushwa tu, kwa kweli sikutegemea........iBinafsi natumia VODA kwa muda mrefu sasa na nilishawahi kutoa 300k nikapata ujumbe lakini kwa wakala hamna ujumbe na salio limepungua. Nilichanganyikiwa sana but hela ilirudi ndani ya 24 hrs. So wewe utunze taarifa za muamara na code zake. VODA nawaamini sana nawe utakuwa umepanic tu but wapo vizuri sana katika huduma zao hasa za kifedha,mengine ni makosa madogo madogo ambayo hata benki wanayo
Wananchi inabidi tupate utaratibu wa kuwashitaki.Limenitokea tatizo kama hilo na niliwasiliana nao pale pale, lakini hii wiki ya tatu sasa nazunguushwa tu, kwa kweli sikutegemea........i
Mkuu kuwapata hao Voda kwenye huduma ya wateja , simu no 100, ni sawa na kumpata kakakuona.Wamelala ...mbona nimepiga huduma kwa wateja Jana usiku na tatizo limeshughulikiwa?!
Ni sawa sana mkuu.Wananchi inabidi tupate utaratibu wa kuwashitaki.
TCRA na hata Benki Kuu kazima waellimishe watu juu ya utaratibu wa kuwashitaki iwapo miamala inachezewa na watoa huduma.