masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,196
- 13,837
Wakuu nimemtumia ndugu fedha za sikukuu leo mchana , kwa M Pesa,lakini kule ziendako hakuna message iliyokuwa delivered ili mtu atoe zile fedha.
Nimewapigia Vodacom Huduma kwa wateja, hakuna jibu kabisa~NO ANSWER KABISA!
Sasa sijui hili ni tatixo langu mwenyewe au Voda ndo wamejikusanyia hela ya pasaka kupitia wateja?
Nimewapigia Vodacom Huduma kwa wateja, hakuna jibu kabisa~NO ANSWER KABISA!
Sasa sijui hili ni tatixo langu mwenyewe au Voda ndo wamejikusanyia hela ya pasaka kupitia wateja?