ngakotecture
JF-Expert Member
- Dec 30, 2014
- 2,445
- 2,561
Wakuu wa nchi habari zenu natumai mu wazima,aidha niwape pole kwa shughuri nzito za ujenzi wa taifa letu.Ndugu zangu nina malalamiko kuhusu mtandao wetu pendwa wa vodacom hawa jamaa nawakubali kwa speed yao ya intanet but now nafikiria kuwakimbia kabisaa nisirudi nyuma kwani wamezidi kutunyonya najua sina pa kupeleka malalamiko yangu nikaskizwa ila ni bora nijifariji na wanyonge wenzangu hapa jf cause naweza pata faraja tunatoa pesa nyingi vifurushi vidogo.Kama sasa ivi walikuwa na kifurushi chao cha 1000 unapata 1gb saa 24 jana tu nilipata hizo 1bg kwa buku leo nabonyeza menu yao ya *149*03# nakuta tofauti yani ni gb 10 kwa 10000 na ni wiki mpaka nikachoka nawaarifu nachukua maamuzi magumu naamia halotel jumatatu nasikia mpaka 4g wanayo.