Mkuu nenda kwenye sehemu ya ujumbe mfupi andika kiasi unacho kihitaji mfano 500mb kwenda 123 na kila mb ni Tsh 40/= TU Furahia vodacom mtandao wakijanja.Heshima kwenu wakuu, naomba kufahamishwa taratibu za kupata kifurushi cha Voda Internet, natanguliza shukrani.
Kweli Vodacom ni mtandao wa kijanja. Maana kwa taarifa yako hiyo 500MB ni sawa na shs 20,000/ wakati Bundle la 400MB kwa Airtel ni shs 2500/ tuu. Viwango vya Vodacom ni juu sana.Mkuu nenda kwenye sehemu ya ujumbe mfupi andika kiasi unacho kihitaji mfano 500mb kwenda 123 na kila mb ni Tsh 40/= TU Furahia vodacom mtandao wakijanja.
Inakuwaje Voda unlimited shs 30,000 wakati Airtel shs 70,000. au ndio wa shs 30,000 atabaniwa speed?Voda ni shs 40/mb wakati Airtel ni shs 6.25/mb.
Kwenye red, voda wanakulimit kwa speed kwenye hiyo unlimited yao unapewa 64kbps, hivyo siyo kweli kwamba inategemea na uwezo wa speed ya modem.Vodacom Unlimited Internet Service, text BOMBA30 to 123, hakikisha una 30,000/= kwenye simu yako..baada ya hapo, confirmation message then u have a Go!!Speed inategemea na Modem yako, kama ni 3G utapata 3.6MBPS, kama ni 3.5G utapata 7.2MBPS..Cheerz' :A S-key:
Kwenye red, voda wanakulimit kwa speed kwenye hiyo unlimited yao unapewa 64kbps, hivyo siyo kweli kwamba inategemea na uwezo wa speed ya modem.