chimpa100
Member
- Mar 28, 2012
- 44
- 5
imekua kawaida sasa hasa kwa mtandao wa airtel kutoa vocha zisizo na ubora pale inapokwanguliwa ipo wap mamlaka husika,wananchi hatujui pakushtaki watu kibao wana vocha za airtel zilizoharibika kwenye wallet zao.Airtel tengenezeni vocha zinazoendana na hali halisi ya kitanzania