ze kokuyo
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 7,418
- 9,599
Niwakati wa Islael kutwangwa sasa
Niwakati wa Islael kutwangwa sasa
Sio kwa TrumpSasa hyo si ndio inaita vita? Na vita ya Israel vs anyone lazima marekani aingilie kati
Mturuki hakushindwa ata kidogoMturuki alishindwa akasalimu amri
Hahahaha sasa hizo ni ghaliNyie si msubili tu muone,huyo mmarekani tu atasubili sana mbele ya mrusi huyo ndie putin bana je mmeshawai kuijua ndege ghali sana ya kivita duniani MIG 35 na MIG 45 gharama zake ni $ mil 35 na $ mil 45 hizo ni badhi tu za siraha,ndio isirael ni taifa teule la mungu sikatai,hicho ndicho kilichojaa vichwani pa watu kiasi cha kuamini hakuna taifa lenye kummudu hapa duniani,na ukweli ni kwamba isirael haijawi kupigana vita na mataifa makubwa na yenye kujimudu kisiraa km urusi,mmarekani yupo nyuma ya isirael mrusi yupi kivyake na nu taifa kisiraa duniani linashindana na mmarekani peke yake,isirael ni ya nane duniani kiurinzi urusi ni ya kwanza ikichuana na mmarekani.acheni historia tusubili tuone kitakachojili,je putin atakubali kuchezewa km muarabu?
Mrussi ni wa pili kisiraa na anaingia mara3 kwa mmarekani kwan mmarekani yuko advanced kila ki2 mbele ya mrusiNyie si msubili tu muone,huyo mmarekani tu atasubili sana mbele ya mrusi huyo ndie putin bana je mmeshawai kuijua ndege ghali sana ya kivita duniani MIG 35 na MIG 45 gharama zake ni $ mil 35 na $ mil 45 hizo ni badhi tu za siraha,ndio isirael ni taifa teule la mungu sikatai,hicho ndicho kilichojaa vichwani pa watu kiasi cha kuamini hakuna taifa lenye kummudu hapa duniani,na ukweli ni kwamba isirael haijawi kupigana vita na mataifa makubwa na yenye kujimudu kisiraa km urusi,mmarekani yupo nyuma ya isirael mrusi yupi kivyake na nu taifa kisiraa duniani linashindana na mmarekani peke yake,isirael ni ya nane duniani kiurinzi urusi ni ya kwanza ikichuana na mmarekani.acheni historia tusubili tuone kitakachojili,je putin atakubali kuchezewa km muarabu?
Hawakuinyang'anya bali walifanya electionHuijui vizuri urusi wewe. Waliichukua Crimea mbele ya NATO nadhani unajua NATO ni nini
Af Ukraine hakuwa NATO ndo maana wakawa wanashauri nchi za karibu kama swiden Finland na Ukraine zijiunge natoHuijui vizuri urusi wewe. Waliichukua Crimea mbele ya NATO nadhani unajua NATO ni nini
Hivi unafahamu masuala ya kijeshi au unatoa povu tu hapa, yaani Israel ni wa kuifagia Rassia kwa min kadhaa are you serious?, acha unazi usio na msingi. Ulidhani umeandika point kumbe umejishushia na kuonekana ni mgeni katika masuala ya ulinz na usalama. Labda Rassia iwe ni tz ndio useme itafutwa kwa masaa kadhaa. Hata kama ulitaka kutudanganya NOT TO THAT EXTENT.Mchawi akikushindwa anakitafuta kwa ndugu kama huna basi hata kwa wanao, huyu Russia anajua Israel still the heart of USA alafu analeta bangi, nahisi anatafuta kick tu huyu Putin, Israel anajitosheleza kumfagia Russia within several minutes, alafu anasahau kwa USA Britain wapo nyuma yake,hasilete habari za kuifanya Russia kuwa pori,
ACHANENI NA WATEULE, ISRAEL SIO TAIFA LA KIDUNIA KAMA HAWA WAPUUZI.
Hamjiulizi kwanin USA anafyata mkia anaishia kutoa sadaka ambayo anabarikiwa nayo
Ziangalie vizuri hizo bei, nahisi hizo ndege hata Tanzania inaweza kuzinunua kwa wingi au ndiyo story mnazopiga kwenye vikao vya kawaha?Nyie si msubili tu muone,huyo mmarekani tu atasubili sana mbele ya mrusi huyo ndie putin bana je mmeshawai kuijua ndege ghali sana ya kivita duniani MIG 35 na MIG 45 gharama zake ni $ mil 35 na $ mil 45 hizo ni badhi tu za siraha,.......................
Kwa iyo kuanguka mpaka iangushwe na ndege. ikiangushwa na anti air missile bado inakuwa haijanguka au inafufuka tenaHahahaha sasa hizo ni ghali
Tafta f22 ndege ya dunia utaona gharama yake hyo f22 ni sawa na f15 arobaini
Na hyo f15 haijawai kuangushwa na ndege yoyote ya mrusi au uchaf mwingine sehem yoyote, ndo maana inaitwa Mig-killer
Kuna b2 pure stealth
Jiulize kwann mrussi akiwakiana na mmarekani anakimbilia kusema hato hesitate kutumia nuclear zake?????
Kama unaakili umenielewa
Muda mwingine uwa mnachekesha san, ukraine jimbo la crimea limechukulia hadi leo imebaki story na pia majimbo ya donesk na luhansk nayo yamebaki story sasa hapo nani mshindi kama sio urusi. Iraq vita inaendelea mpaka leo.libya juzi tu urusi kapeleka wanajeshi maana marekani kachemka. Sina tu kumbukumbu za vietnam war sijui mshindi alikuwa nani ila kam unakumbukumb unawez ukaniambiaMrussi ni wa pili kisiraa na anaingia mara3 kwa mmarekani kwan mmarekani yuko advanced kila ki2 mbele ya mrusi
Na hakuna vita ambayo mrusi kashinda kwa mmarekani interms of support
Sio afghastan, sio Ukrain sio Libya sio iraq au kwingine kote
Ni kwasabab mmarekani anavifaa vizr zaid yake
But as african tumafrahi hii balance of power na kutoelewana maana inafaida kwetu
Tatizo sio kuona, tatizo je unauwezo wa kulishusha maana si kiwepesi kama unavyojua wew. Ss-18 satan ina vichwa 40 vya maboya inamaana mpaka kuvijua vichwa vyote inabidi ufanye kazi san. Sarmat icbm ndo kiboko hii ina hadi countermeasure ya kutungua makombola. Inamaana kombola linaenda uku linajilinda. Ingekuwa rahisi marekani asingejenga miji ya chini ya ardhi kipindi kile cha cold warTatizo hilo Sarmat litapita njia gan mpk lifike Israel. Maana Urusi yenyewe inalalamika kwamba Radar za US zinaona karibia nchi nzma mambo linalopunguza ufanisi wa hzo ICBM + missile defenses kibao za US zilizopo eneo hilo.
Labda mungu wa ma boxLong live Israel.
Allah Bless Israel....
Labda mungu wa ma box
Nalog off
Nikipata hela lzm niende kuwapakua magay wa IsraelBaraka hii ndiyo ya muisraeli anayompatia Mmarekani ???
Gonga hapa Tel Aviv declared world's best gay travel destination
Mungu ibariki Tz, nchi zilizobakia kila mtu atajiombea mwenyewe, hivi waisrael huwa wanaiombea Tz?Unachukizwa sana na hilo inaonekana
Hata wa rus wenyewe huwaombeaa aman israel
Mungu ibariki Tz, nchi zilizobakia kila mtu atajiombea mwenyewe, hivi waisrael huwa wanaiombea Tz?
Nalog off
Kwa russia? Abadani hutoiona pua ya mmarekani kuingilia kati. Putin putin putinSasa hyo si ndio inaita vita? Na vita ya Israel vs anyone lazima marekani aingilie kati
Tatizo sio kuona, tatizo je unauwezo wa kulishusha maana si kiwepesi kama unavyojua wew. Ss-18 satan ina vichwa 40 vya maboya inamaana mpaka kuvijua vichwa vyote inabidi ufanye kazi san. Sarmat icbm ndo kiboko hii ina hadi countermeasure ya kutungua makombola. Inamaana kombola linaenda uku linajilinda. Ingekuwa rahisi marekani asingejenga miji ya chini ya ardhi kipindi kile cha cold war