Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,119
- 9,049
Israel wajeuri sanaMturuki alishindwa akasalimu amri
Israel wajeuri sanaMturuki alishindwa akasalimu amri
Mostly, Jews ndo wanaongoza Russia, USA, Sasa hakuna la maana, kumbuka namna wanavyoshirikiana kule angani,Duh hebu tuone kama Israel anaweza kuleta ubabe na kwa mrussi baada ya kupigwa huo mkwara
Urusi ndiye aliyembembeleza Uturuki ,urusi anamhitaji sana UturukiMturuki alishindwa akasalimu amri
Si km Bashite na babake.Israel wajeuri sana
Sidhan kama alibembelezwa ila mrusi anamhitaj mturuki au yyte aliyekinyume na marekani.Urusi ndiye aliyembembeleza Uturuki ,urusi anamhitaji sana Uturuki
Uturuki naye baada ya kuwa na mgogoro na EU kajiegemeza kwa urusi
Uturuki hakushindwa bali alikuwa anamkomoa USA
The enemy of my enemy is my friend.Sidhan kama alibembelezwa ila mrusi anamhitaj mturuki au yyte aliyekinyume na marekani.
Mkuu hapo nadhani baada ya Yale mapinduzi ambayo ilionekana marekani ana mkono wake kushindwa, ivyo mturuki akaamua kuyamaliza na mrusi maana ndo alimuokoa!,Urusi ndiye aliyembembeleza Uturuki ,urusi anamhitaji sana Uturuki
Uturuki naye baada ya kuwa na mgogoro na EU kajiegemeza kwa urusi
Uturuki hakushindwa bali alikuwa anamkomoa USA
We kwenye maslahi hakuna kujuanaMostly, Jews ndo wanaongoza Russia, USA, Sasa hakuna la maana, kumbuka namna wanavyoshirikiana kule angani,
Mchawi akikushindwa anakitafuta kwa ndugu kama huna basi hata kwa wanao, huyu Russia anajua Israel still the heart of USA alafu analeta bangi, nahisi anatafuta kick tu huyu Putin, Israel anajitosheleza kumfagia Russia within several minutes, alafu anasahau kwa USA Britain wapo nyuma yake,hasilete habari za kuifanya Russia kuwa pori,
ACHANENI NA WATEULE, ISRAEL SIO TAIFA LA KIDUNIA KAMA HAWA WAPUUZI.
Hamjiulizi kwanin USA anafyata mkia anaishia kutoa sadaka ambayo anabarikiwa nayo
Duh hebu tuone kama Israel anaweza kuleta ubabe na kwa mrussi baada ya kupigwa huo mkwara
Sio kama unavojua mkuu, urus hawez hata kidogo kwa wale jamaa, ISRAEL ana vitu vingi sanaUkumbuke pia Urussi anaweza kumtowesha Israel within minutes.
not to such extent, Russia is much tougher than Israel, Israel normally doesn't stand alone always as he's closely compacted with his fellows who made Israel to emerge again on the earth.Mchawi akikushindwa anakitafuta kwa ndugu kama huna basi hata kwa wanao, huyu Russia anajua Israel still the heart of USA alafu analeta bangi, nahisi anatafuta kick tu huyu Putin, Israel anajitosheleza kumfagia Russia within several minutes, alafu anasahau kwa USA Britain wapo nyuma yake,hasilete habari za kuifanya Russia kuwa pori,
ACHANENI NA WATEULE, ISRAEL SIO TAIFA LA KIDUNIA KAMA HAWA WAPUUZI.
Hamjiulizi kwanin USA anafyata mkia anaishia kutoa sadaka ambayo anabarikiwa nayo
Nyie si msubili tu muone,huyo mmarekani tu atasubili sana mbele ya mrusi huyo ndie putin bana je mmeshawai kuijua ndege ghali sana ya kivita duniani MIG 35 na MIG 45 gharama zake ni $ mil 35 na $ mil 45 hizo ni badhi tu za siraha,ndio isirael ni taifa teule la mungu sikatai,hicho ndicho kilichojaa vichwani pa watu kiasi cha kuamini hakuna taifa lenye kummudu hapa duniani,na ukweli ni kwamba isirael haijawi kupigana vita na mataifa makubwa na yenye kujimudu kisiraa km urusi,mmarekani yupo nyuma ya isirael mrusi yupi kivyake na nu taifa kisiraa duniani linashindana na mmarekani peke yake,isirael ni ya nane duniani kiurinzi urusi ni ya kwanza ikichuana na mmarekani.acheni historia tusubili tuone kitakachojili,je putin atakubali kuchezewa km muarabu?Sio kama unavojua mkuu, urus hawez hata kidogo kwa wale jamaa, ISRAEL ana vitu vingi sana
Vita ya Maslahi wanataka lazima pipeline ya Gas ipite Syria kuelekea Turkey ikitokea Qatar, Upande wa pili Putin analinda maslahi ya soko lake la Gas Ulaya
Siyo kwa urusi. Hili onyo halitarudiwa tena na angalia kama Israel atasogeza pua yake SyriaIsrael wajeuri sana
Hivi hizi akili mnazitoa wapiMostly, Jews ndo wanaongoza Russia, USA, Sasa hakuna la maana, kumbuka namna wanavyoshirikiana kule angani,