Viwanja vya uchimbaji dhahabu vinauzwa

Viwanja vya uchimbaji dhahabu vinauzwa

Mlendamboga

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2011
Posts
670
Reaction score
347
viwanjaviwili vyenye ukubwa wa ekari 20 vyenye hazina ya madini aina ya dhahabu vinauzwa mkoani geita, vimepakana na mgodi unaoendeshwa na kampuni kubwa ya geita gold mine, viwanja vina hati miliki na leseni ya utafutaji madini iliyo hai. Aidha vimelipiwa hadi mwaka ujao , bei ni tshs 600 milion
unaweza wasiliana nami kwa kunipm, ama nipigie +255784606322
 
Naam kuna report ya consultant aliyefanya na inaonyesha utajiri pia uliopo kwa maana ya resources particular gold!
 
Mtafiti ni wazo zuri, kilichotokea mpaka kuuza ni umri wa owner umekwenda na uendelezaji unaonekana kutokuwa efficient kwakuwa amekuwa akilipia leseni na mambo mengine pasi kunufaika kutokana na kukosa zana. Ni wazo zuri sana kama angekuwa bado yupo interested kufanya uchimbaji yeye ameingia kwenye biashara nyingine sasa so ingiza mtaji kaka chukua hiyo! Report ya consultant inaonyesha ni eneo lenye mkondo mkubwa wa dhahabu ukiwa umejipanga unatusua!
 
Back
Top Bottom