Plot4Sale Viwanja vya Makazi kwa bei nafuu

Plot4Sale Viwanja vya Makazi kwa bei nafuu

Excelent tuna eneo pale Mgeninan mitaa ile ya (Kingazi nyuma kidogo) la urithi una hela tuongee biashara?
Si unihonge na wewe mpaka nikupe pesa? 😹😹😹

Vitu vya urithi jau naviogopa.
Migogoro inakuwa mingi sana..!!
 
Si unihonge na wewe mpaka nikupe pesa? 😹😹😹

Vitu vya urithi jau naviogopa.
Migogoro inakuwa mingi sana..!!
Migogoro wakati mn ndo msimamiz wa mali na mtoto mkubwa pale. Last time mteja anasema ana 45m alaf alipe kwa awamu. We njoo ulione nakuuzia alafu nakutafuta tunaenda kula bata wote na hela hizohizo
 
Mwasonga kwa sasa kunatoa njia ya tundwi songani kwenda kimbiji. Nina plot ndogo kule ya kuanzia maisha. Ila nataka kununua malamba mawili lete hela za kariakioo nikawekeze kule malamba mawili kwa steve
Ina ukubwa kiasi gani?
Naweza nisichukue mimi lakini tukafanya biashara…!!

Sasa K viplot vidogo vidogo si ndo vya kutuhonga jamani watoto tunaonukia eeehh? Eti babe 😍
Nipe basi na wewe..!! 😹
 
Migogoro wakati mn ndo msimamiz wa mali na mtoto mkubwa pale. Last time mteja anasema ana 45m alaf alipe kwa awamu. We njoo ulione nakuuzia alafu nakutafuta tunaenda kula bata wote na hela hizohizo
Nyie wazaramo hamchelewi kuniwangia 😹😹😹

Lina ukubwa gani?
Mazungumzo si yapo?

Yani pesa yangu inile bata?
Hizo dharau sasa 😹😹😹
 
Ina ukubwa kiasi gani?
Naweza nisichukue mimi lakini tukafanya biashara…!!

Sasa K viplot vidogo vidogo si ndo vya kutuhonga jamani watoto tunaonukia eeehh? Eti babe 😍
Nipe basi na wewe..!! 😹
Kubwq you have come see. Nitakupa namba za watu wa home pale uje ujionee mwenyewe. Mnakuja lin?
 
Nyie wazaramo hamchelewi kuniwangia 😹😹😹

Lina ukubwa gani?
Mazungumzo si yapo?

Yani pesa yangu inile bata?
Hizo dharau sasa 😹😹😹
45 ndogo sana. Least tupate 55 uje ujionee nsiongee sana
 
Na inawezekana isiwe kisemvule ila inatumia jina la kisemvule. Mana wauza viwanja siku hiz wanakuambia bunju, ukifika bunju wanakupakia kwenye gari boda to boda mpaka bagamoyo uswekeni huko. Bado wanakuaminisha kuwq bunju.. kamq una hela kanunue Magodani njia ya mwasonga
2019 to 2022
Tumeuza Obey Village phase one na two
Hii serikali ya kijiji Vianzi hati zilitoka pale.

2023 tupo Kisemvule mpera na mradi wa forodhani smart city phase one umeisha 2025

Sasa 2026 tupo forodhani smart city phase two ni Kisemvule hio hio
Hati ni za serikali ya kijiji Kisemvule

Karibu Saiti kupelekwa bure
Kununua hadi uridhike
 
Maendeleo ya Umeme
Forodhani Smart City

Nguzo zimesimama, nyaya zimepita , taa zinawaka

Forodhani Smart City sasa inaingia rasmi kwenye ramani ya maeneo yenye Miundombinu kamili.

Hii ni hatua kubwa kuelekea makazi bora na Uwekezaji salama
Thamani ya kiwanja inapanda kila siku - usikubali kubaki nyuma

📍Forodhani Smart City
Wahi sasa kabla bei haijapanda
 

Attachments

  • VID-20260221-WA0310(1).mp4
    2.6 MB
Tuwasiliane 0754553380
 

Attachments

  • d37e19a2db2b4201939bb7866a2b55b8.mp4
    15.3 MB
💰 MILIONI 2 AU 4 TU UNAKUWA MMILIKI WA ARDHI!



Malipo ya awamu • Hakuna dalali • Hati halali ✅



🏡 Anza mwaka mpya kwa uwekezaji wa uhakika.



📍 MRADI UPO – KISEMVULE



✅ Bei kuanzia Tsh Milioni 2 & Milioni 4

✅ Malipo ya awamu hadi miezi 6 – rahisi, bila presha

✅ Hati miliki ya mtaa – umiliki halali na salama

✅ Umeme na maji karibu – tayari kwa ujenzi

✅ Hakuna dalali – unanunua moja kwa moja kwa mmiliki



📈 Miundombinu imara = Thamani ya kiwanja kupanda!



Barabara zimetengenezwa vizuri, zinafikika kwa urahisi 🚗

Hakuna kukwama – maendeleo yanaonekana wazi.



🚐 Site visit kila siku – BURE kabisa!

Fika ujionee mwenyewe kabla ya kufanya maamuzi.



📞0754553380 Wasiliana nasi sasa – viwanja vinaenda kwa kasi!



✨ Leo unawekeza, kesho unavuna faida.



#Kisemvule #UwekezajiSalama #ArdhiYako #Milioni2 #Milioni4
 

Attachments

  • IMG-20260329-WA0333.jpg
    IMG-20260329-WA0333.jpg
    181.5 KB · Views: 13
Fika saiti kwa mawasiliano 0754553380
 

Attachments

  • IMG-20260329-WA0329.jpg
    IMG-20260329-WA0329.jpg
    237.2 KB · Views: 16
Karibu forodhani smart city
 

Attachments

  • IMG-20260329-WA0347(1).jpg
    IMG-20260329-WA0347(1).jpg
    742.3 KB · Views: 13
  • IMG-20260329-WA0328(2).jpg
    IMG-20260329-WA0328(2).jpg
    151.1 KB · Views: 13
BEI MPYAAA

PIGA 0754553380
 

Attachments

  • IMG-20260612-WA0512(1).jpg
    IMG-20260612-WA0512(1).jpg
    256.1 KB · Views: 9
🏡 FORODHANI SMART CITY – KISEMVULE 🏡

📍 Unatafuta kiwanja karibu na barabara kubwa?
Hii ndiyo nafasi yako ya kumiliki eneo lenye future kubwa kwa makazi au uwekezaji.

✅ Viwanja vinapatikana kwa bei nafuu
✅ Eneo linaendelea kukua kwa kasi
✅ Malipo ya awamu yanaruhusiwa
✅ Hakuna dalali

💰 BEI MAALUM:
📐 SQM 400 — Tsh Milioni 4 Tu
📐 SQM 800 — Tsh Milioni 8 Tu

⚡ Wahi mapema kabla havijaisha!

📞 Call 0754553380

🔑 FORODHANI SMART CITY — Miliki Ardhi Leo, Jenga Kesho Yako.
 

Attachments

  • IMG-20260329-WA0337.jpg
    IMG-20260329-WA0337.jpg
    697.3 KB · Views: 11
FORODHANI SMART CITY

MUONEKANO WA USIKU 🔥🔥🔥
 

Attachments

  • VID-20260403-WA0218.mp4
    2.4 MB
🏡 FORODHANI SMART CITY – KISEMVULE 🏡

📍 Unatafuta kiwanja karibu na barabara kubwa?
Hii ndiyo nafasi yako ya kumiliki eneo lenye future kubwa kwa makazi au uwekezaji.

✅ Viwanja vinapatikana kwa bei nafuu
✅ Eneo linaendelea kukua kwa kasi
✅ Malipo ya awamu yanaruhusiwa
✅ Hakuna dalali

💰 BEI MAALUM:
📐 SQM 400 — Tsh Milioni 4 Tu
📐 SQM 800 — Tsh Milioni 8 Tu

⚡ Wahi mapema kabla havijaisha!

📞 Call/WhatsApp: 0754553380

🔑 FORODHANI SMART CITY — Miliki Ardhi Leo, Jenga Kesho Yako.
 

Attachments

  • BABU-TAYARI-NISHAJICHUKULIA-KIWANJA-CHAN_732.mp4
    8 MB

Similar Discussions

Back
Top Bottom