Viwanja viwanja viwanja

Viwanja viwanja viwanja

Sawa karibuni sana wadau, viwanja vipo Kibada km 11 kutoka Ferry.
Tunauza Square Mita moja Tsh. 5,000
Hivyo kiwanja cha 20m x 30m ni SQM 600 kinauzwa Tsh. 3,000,000 tu
Bila kusahau maongezi yapo. Umeme na maji pia vipo! Karibuni
wewe ndio uliyetoa tangazo??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom