RICH GANG LIFESTYLE
JF-Expert Member
- Jul 17, 2016
- 256
- 192
Habari za Asubuhi wadau
Kutokana na dhamira ya rais wa nchi kuhamia Dodoma, kutaambatana na fursa kibao za uwekezeji kwenye ardhi.
Kwa walioko Dodoma tunaomba kujua bei ya viwanja vya makazi maeneo tofauti tofauti, madalali, makampuni wanaojishughulisha na kuuza viwanja na mashamba tunaomba mtangaze bidhaa yenu hiyo na sisi wa mkoani tuje kuchangamkia fursa ya uwekezaji huko dodoma
Kutokana na dhamira ya rais wa nchi kuhamia Dodoma, kutaambatana na fursa kibao za uwekezeji kwenye ardhi.
Kwa walioko Dodoma tunaomba kujua bei ya viwanja vya makazi maeneo tofauti tofauti, madalali, makampuni wanaojishughulisha na kuuza viwanja na mashamba tunaomba mtangaze bidhaa yenu hiyo na sisi wa mkoani tuje kuchangamkia fursa ya uwekezaji huko dodoma