Plot4Sale Viwanja vinauzwa Chamazi

gozy busness

Member
Joined
Dec 5, 2021
Posts
9
Reaction score
9
🌳 PLOT FOR SALE IN CHAMAZI REAL-ESTATE
_________________________________

#Mladi mpya wa viwanja uliopo chamazi mbande Kilometer 1.5 kutoka uwanja wa mpira wa azam ( AZAMCOMPLEX) .

🌳 Mladi wenye uduma zote muhimu na rafik kwa jamii .

WASILIANA NA WAUSIKA KWA NAMBA ZIFUATAZO
0689357572} Whatsapp
0768041126} whatsapp

🌳 SIFA ZA MLADI
_________&______
βœ… Viwanja vimepimwa kisasa
βœ… Vipo sehemu tambarale na ilio nyooka
βœ… Bei zetu ni rafiki kwa kila mtu na kwa kila ngazi ya uchumi (uchumi mdogo uchumi wa kati na uchumi wa juu).
βœ… Hati zipo
βœ… Bei kuanzia 1,000,000/=
βœ… Ukubwa futi (50Γ—30),(50Γ—40) unaweza kuunganisha viwanja viwili na zaidi

🌳 TERMS OF PAYMENT
  • CASH πŸ’Έ
  • INSTALLMENT ( KULIPA KIDOGO KIDOGO).

SITE VISITING_ NI KILA SIKU ZA WIKI

🌳 CHAMAZI MBANDE REAL-ESTATE TUNAWAKARIBISHA WOTE WENYE UITAJI WA VIWANJA VIZURI VIRIVYO NYOOKA KWA AJILI YA MAKAZI NA BIASHARA

🌳N:B WEKEZA ASSETS KWA MANUFAA YAKO NA KWA MAENDELEO YAKO YA BADAE.

______END_________
 

Attachments

  • 1685381211652.jpg
    78.3 KB · Views: 33
Watu hawataki kukaa na waswahili yaani kutwa nzima kelele za sabufaaaaπŸƒπŸƒπŸƒ
 
Ukiona viwanja vinauzwa kwa futi na bei yake hyo ya milio milio...kimbia mbio sana,maana hayo ni maeneo ya Tandale mpya,buguruni mnyamani mpya au keko mpya....unless unapenda kuishi maisha ya hvyo.
 
πŸ• PLOT FOR SALE IN CHAMAZI REAL-ESTATE
_________________________________

πŸ’₯Mladi mpya wa viwanja uliopo chamazi mbande Kilometer 1.5 kutoka uwanja wa mpira wa azam ( AZAMCOMPLEX) .

SIFA ZA VIWANJA VYA CHAMAZI MB
πŸ” Viwanja vipo tambalale
πŸ” Viwanja vimepimwa
πŸ” Unaweza kulipia kidogo kidogo adi unamaliza
πŸ” Viwanja vina Hati miliki
πŸ” Viwanja vinatambulika na serikali
πŸ” Viwanja vimepangiliwa katika makazi bora ya mji ( kila kiwanja kina barabara ya mtaa)

Ukifika MBANDE MAGENGENI Tupigie simu ofisi zetu zipo wazi (*0768 041 126 *0689 357 572) .

Usafiri upo bajaji πŸ›Ί 500 Boda 🏍1000 kutoka mbande magengeni adi site.

Kumbuka Viwanja havina udalali piga simu 0768041126/0689357572 uje mwenyewe uchague kiwanja unachokipenda ulipie.

* BEI ZA VIWANJA *
πŸ“πŸ’₯ 800,000/ FT 50Γ—30
πŸ“πŸ’₯ 1,300,000/ FT 50Γ—40 sqm 200
πŸ“πŸ’₯ 2,600,000/ FT 80Γ—50 sqm 400
πŸ“πŸ’₯ 5,200,000/ FT 100Γ—80 sqm 800

*TERMS OF PAYMENT
CASH πŸ’Έ βœ…
INSTALLMENT βœ…

Unaruhusiwa kununua ata mtaa mzima pia unaweza kununua ata ukiwa nje ya Nchi na ukatumiwa hati yako .

* MAWASILIANO*
0768 041 126} whatsapp
0689 357 572} Whatsapp

Siku za kwenda site ni siku zote za wiki

NB: WEKEZA KWENYE ARDHI KWA MANUFAA YAKO YA BADAE.
 
Ukishaambiwa Chamazi akili yako lazima ifanye kazi haraka sana,vinginevyo utakuja kutulilia hapa...
 
Ukishaambiwa Chamazi akili yako lazima ifanye kazi haraka sana,vingine utakuja kutulilia hapa...

Wanadanganya sio chamazi.. kwa maelezo yake hapo hivyo viwanja viko wilaya ya mkuranga mkoa wa pwani.

Muuzaji Ametumia ujanja kusema mbande chamazi ili vionekane vipo Dar es salaam. Maana vilipo sio mbali ukitokea mbande ama chamazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…