Mr. Mwalu
JF-Expert Member
- Feb 4, 2010
- 1,057
- 565
Naam zama hizi hizi mkuu.
Hiyo Bei ina mazungumzo lakini.
nisikuaribie biashara mkuu, ila cheki na jamaa zako mjaribu ku review rate zenu kama mnataka kuuza
Naam zama hizi hizi mkuu.
Hiyo Bei ina mazungumzo lakini.
Unajua sana mahesabu,Mfano wa Kiwanja cha Sqm 650,
Gharama ni Tshs 15,000 x Sqm 650 = Tshs 9,750,000/=
Gharama ya Dalali
- Commission = Tshs 9,750,000/= x 10% = 975,000/=
- Kuonyeshwa = Tshs 50,000
JUMLA DALALI = Tshs 1,025,000
*Huu ni wizi na utapeli wa kiwango cha Maprofesa wetu wale wanaotajwa kwenye kila kadhia, akiwemo "Bwana Yule"
Unaifahamu Bei elekezi ya serikali?nisikuaribie biashara mkuu, ila cheki na jamaa zako mjaribu ku review rate zenu kama mnataka kuuza
Hana dhiki ya kiasi hikoKama laini hata Mkweo angefanya.
Unaifahamu Bei elekezi ya serikali?
Unamfahamu gharama ya Upimaji?
Vipi kuhusu kusafishwa Maeneo yafanane na mahala kwaajili ya ujenzi wa Makazi?
Tuwe considerate somehow.
Besides, Nimeeleza kuwa hii ni Biashara hivyo siku zote mazungumzo yapo baina yako na Mmiliki.
Mimi (dalali) sifanyi bargaining kwenye biashara nawaachia wahusika mmalizane.
Sijui unanielewa?
Madalali wengine akikuonyesha Mali yeye ndie anae kulipa wewe Mteja. Mbona rahisi tu, Watafute mkuu. Kingine yaelekea unajua mengi nakushauri uandike kitalu kabisa kuhusu madalali nitakuungisha badala ya kupayuka pasi na tija.mzee kama pesq ni rahisi kiwango hicho yaani kumuonesha tu mtu kiwanja ulipie basi watu wasingelia maisha magumu......
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu mwenye Akili timamu maneno mawili tu toka kwake anaeleweka.nakuelewa sana mkuu, nipo kwenye industry hiyo hiyo ya ardhi, nafahamu urban planning, land surveying na land management pia! thats why nikasema nisiharibu biashara yako!