Viwanja na Mashamba vinapatikana Kigamboni

Viwanja na Mashamba vinapatikana Kigamboni

Genchi

Member
Joined
Aug 19, 2014
Posts
95
Reaction score
47
Habar wapendwa?
Natangaza kwa wale wapenda maendeleo,wanaohitaji mashamba, viwanja, beach au eneo kwa ajili ya shughuli yoyote kwa upande wa Kigambon (Kimbiji) Dar Tanzania Nitafute sasa usichelewe. email: bahatigenchi@gmail.com / sim no. 0683775566
 
Habar wapendwa?
Natangaza kwawale wapenda maendeleo,wanaohitaji mashamba,viwanja,beach au eneo kwaajil ya shughul yeyote kwa upande wa kigambon {kimbiji} dar tz! Nitafute sasa usichelewe,,,email: bahatigenchi@gmail.com / sim no. 0683775566
Tupe ukubwa wa viwanja mkuu... alafu na tudadavulie na bei yake mkuu. mana watu tupo serious na hii issue.
 
Kwa wale wapenda maendeleo na wanaohtaj kujenga, nawatangazia fursa ya kupata kiwanja kwa thaman ya bei sawa na buree!!!
Viwanja vpo mwandege nyuma ya kiwanda cha bakhresa, panaitwa CHATEMBO
Ft 50 kwa 50 unapata kwa tsh.1500000 yan mil.moja na nusu tu,,,
Usichelewe njoo sasa upate kiwanja safi tambalale kwan hata ukiwa na pesa nusu unapokelewa,
Kwa maelezo n.k. piga sasa 0714775566 au 0683775566.
Usafir upo mbagara rang 3 muda wote,,,wooote mnakaribishwa.
 
Kwa wale wapenda maendeleo na wanaohtaj kujenga, nawatangazia fursa ya kupata kiwanja kwa thaman ya bei sawa na buree!!!
Viwanja vpo mwandege nyuma ya kiwanda cha bakhresa, panaitwa CHATEMBO
Ft 50 kwa 50 unapata kwa tsh.1500000 yan mil.moja na nusu tu,,,
Usichelewe njoo sasa upate kiwanja safi tambalale kwan hata ukiwa na pesa nusu unapokelewa,
Kwa maelezo n.k. piga sasa 0714775566 au 0683775566.
Usafir upo mbagara rang 3 muda wote,,,wooote mnakaribishwa.
Usipuuzie
 
Viwanja vipo mwandege chatembo,,yan nyuma ya kiwanda cha bakhresa,,
50 kwa 50 utapata kwa thaman ya sawa na buree tsh.1500000 yan ni mil.moja na nusu tu..
Hata ukiwa na nusu unapokelewa,,
Piga 0683775566 au 0714775566.
Woote mnakaribishwa,,usafir upo mbagara
Vimepimwa??
 
hivi hapo mwandege ni pale iringa kama unaelekea mbozi kwenye njia panda ya njombe na chalinze enhee?
 
Viwanja vinakatwa kimitaa na kila kiwanja kinafikiwa na barabara ila havijapimwa na ardhi pia document utapewa na serikali ya mtaa baada ya kununua
 
Mwandege nayozungumzia ipo dar es salaam,, ukifika mbagala rang 3 magar yapo hapo
 
wewe mgeni wa kununua viwanja????? mana hata viwanjwa holela navyo vinahesabu.nina maana vimepimwa kiserikari?
 
wewe mgeni wa kununua viwanja????? mana hata viwanjwa holela navyo vinahesabu.nina maana vimepimwa kiserikari?
Mwandege hakuna viwanja vilivyopimwa mkuu, ni skwata tu!!

Kiwanja kilichopimwa utakipata kwa 1.5m?

Mimi nimenunua viwili kule mwandege opposite na shule ya msingi, viwanja vizuri mno, ardhi ni tambarare sio milima kama mbezi ya kimara!
 
Mh! Hoteli zimefungwa na zingine kuwa hostel zisizoruhusu wageni, benki yetu inasema hali ya uchumi ni mbaya, mkuu anasema watu wameficha fedha, na wananchi wanasema hela hakuna.
Hebu subiri walioficha fedha kama wapo watakuja kukuunga mkono hapa ndo mahali pake.
 
Kwa wale wapenda maendeleo na wanaohtaj kujenga, nawatangazia fursa ya kupata kiwanja kwa thaman ya bei sawa na buree!!!
Viwanja vpo mwandege nyuma ya kiwanda cha bakhresa, panaitwa CHATEMBO
Ft 50 kwa 50 unapata kwa tsh.1500000 yan mil.moja na nusu tu,,,
Usichelewe njoo sasa upate kiwanja safi tambalale kwan hata ukiwa na pesa nusu unapokelewa,
Kwa maelezo n.k. piga sasa 0714775566 au 0683775566.
Usafir upo mbagara rang 3 muda wote,,,wooote mnakaribishwa.
vimepimwa ,,,vinahatiii,,,,ww ni dalali,,,kuna huduma gani za jamii,,,,unaposema nyuma ya baresa unamaanisha mmepakana kwa ukuta tuuu au ,,,kama sio ni umbali gani toka baarabara ya lamii,,,,futi ndo nini unaturudisha karne ya 19,,,tumia mita za mraba,,,,lazma uweke habari zisizocha maswali,,ndo maana unaona watu wanapita tu coz hujafungukaaa
 
Back
Top Bottom