Habari!
Kama unahitaji kiwanja Kwa mkoa wa Morogoro tuwasiliane!
Viwanja vipo sehemu zifuatazo:
Katikati ya mji (Kihonda, Kichangani, Nanenane na Kilakala.) Bei kuanzia 8Mil kwa heka.
Nje kidogo ya mji Mkundi, Makunganya, Kwa Mwarabu (Kote huko daladala zipo na za uhakika muda wote wa kazi) bei kuanzia laki 8 kwa heka.
Kama upo morogoro na unaufaham mji wa morogoro basi utakubaliana na mimi kwamba hiyo ni bei "chee" ukilinganisha na spidi ya kukua kwa mji!
Kama una nia kweli ya kununua, nicheki kwa namba hizi: 0762494688 Tafadhali usibip! Ama unaweza nicheki Facebook kwa kunitafuta kwa username "Mtei Junior Deodath"