Viwanja Goba

Viwanja Goba

kwamtoro

JF-Expert Member
Joined
Nov 15, 2010
Posts
4,922
Reaction score
3,244
Miaka sita iliyopita nilifika goba. Kwa kweli palikuwa nyuma sana. Ila kwa sasa nipo hapa goba, mda huu wa saa mbili kasoro usiku, kwa kweli pamekucha.

Hapa kuna barabara nne muhimu. Moja inaelekea makongo juu ambayo ina magari mengi. ya pili inaelekea mbezi beach tangi bovu. ya tatu inaelekea madale, wazo mpaka Tegeta, ya nne inaelekea Mbezi luisi. Nakutonya tu mjasiria mali.

Wahi ufanye survey uwekeze mapema kabla mambo hayajawa makubwa zaidi kwani barabara ya lami ipo karibu kujegwa.
Goba ipo juu kijeografia, hali ya hewa ni nzuri kiama.

Pia kwa wanao hitaji viwanja wawahi kwani ardhi haiozi 20x20 sehemu ya mabondeni utaweza bahatika kwa milioni 6 mpaka 8. Sehemu zenye ubora inaanza milioni 15 kwenda juu.
 
Ushauri mzuri. Barabara inayowekewa lami ni ipi kati ya hizo ulizotaja?
 
Kuna mahali panaitwa Mmbopo, umewahi kufika? kiufupi Dar es salaam inakua kwa kasi ya ajabu, na bei ya ardhi inapanda kwa speed ya rocket.
 
Miaka sita iliyopita nilifika goba. Kwa kweli palikuwa nyuma sana. Ila kwa sasa nipo hapa goba, mda huu wa saa mbili usiku, kwa kweli pamekucha. Hapa kuna barabara nne muhimu. Moja inaelekea makongo juu ambayo ina magari mengi. ya pili inaelekea mbezi beach tangi bovu. ya tatu inaelekea madale, wazo mpaka tegeta, ya nne inaelekea mbezi liusi. Nakutonya tu mjasiria mali, wahi ufanye survey uwekeze mapema kabla mambo hayajawa makubwa zaidi kwani barabara ya lami ipo karibu kujegwa. Goba ipo juu kijeografia, hali ya hewa ni nzuri kiama.

Asante kwa ushauri mkuu. Naamini siku za usoni barabara zote zitakuwa za lami. Ila kwa sasa, ni ipi kati ya hizo ulizotaja inawekewa lami kama unajua rafiki.
 
Barabara ya Goba mpaka tangi bovu km 9 yote itawekwa lami. Nyingine zote zitawekwa kwa kiasi katika hatua za hawamu ya kwanza.
 
waache kuuza viwanja size 20*20
..kutakua kama uswazi kwa kubanana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom