Mkuu nakuwekea PM sasa hivi.Mashamba yanauzwa bagamoyo kila heka 1 laki 8 yapo sehemu nzuri barabara ya kuelekea kiwangwa
zipo zaidi ya heka 300 kwa mawsiliano zaidi 0714107215 au 0714104788 Mudy Muzungu
hayo siyo mashamba ya kuvamia yanauzwa na wenyeji yana hati za vijiji udalali huwa ni 10%Je hayo si mashamba ya kuvamia? Je vip kuhusu udalali?